Pesa ni chanzo cha watu kuwa wavivu, pamoja na kutokuwa wazalishaji halisi; 'barter trade' irudi

Pesa ni chanzo cha watu kuwa wavivu, pamoja na kutokuwa wazalishaji halisi; 'barter trade' irudi

Kwa mfano, kwa wengi tulioko mijini, ukituuliza tunazalisha nini; wengi tutakujibu, tumeajiriwa na tunalipwa mishahara ndio inayotusaidia kununua mahitaji yetu.

Swali, lingine; kama hayo mahitaji hayapo au mwenye nayo hayuko tayari kubadilishana na hiyo fedha yako; maisha yatakuwaje?
😂
Watu itabidi wachukue laki moja waikatekate, waitie kwenye sufuria,kisha waichemshe wainywe supu
 
Back
Top Bottom