Kwa mfano, kwa wengi tulioko mijini, ukituuliza tunazalisha nini; wengi tutakujibu, tumeajiriwa na tunalipwa mishahara ndio inayotusaidia kununua mahitaji yetu.
Swali, lingine; kama hayo mahitaji hayapo au mwenye nayo hayuko tayari kubadilishana na hiyo fedha yako; maisha yatakuwaje?