Pesa ni Shetani; Mchezaji aliyekataa kuvaa jezi ya kuunga ushoga alazimishwa kuchagua kati ya mshahara wa milioni 200 kila wiki ama kurudi Afrika

Pesa ni Shetani; Mchezaji aliyekataa kuvaa jezi ya kuunga ushoga alazimishwa kuchagua kati ya mshahara wa milioni 200 kila wiki ama kurudi Afrika

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
SSSS.jpg



Katika hali kama hii ndipo unapoona wazi wazi bila kificho kwamba pesa zina elements kubwa sana za ushetani.

Mchezaji wa PSG (timu hii inamilikiwa na shehe tajiri) wiki iliyopita alikataa kuvaa jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia, sababu yake kuu ni kwamba ni kinyume na asili yake na pia dini yake hairuhusu.

Sasa ishu inapokuja ni kwamba mchezaji huyu analipwa milioni 200 kila wiki na watu wanaofanikisha hilo jambo wao wanapenda kuunga mkono ushoga, wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achague kimoja kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi Afrika.

Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa japo kuna picha za uzushi kama niliyoambatanisha zinasambaa .

Je ni kipi atakichagua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.

wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida.
 
katika hali kama hii ndipo unapouja kugundua pesa zina elements kubwa sana za ushetani.

Mchezaji wa psg (timu hii inamilikiwa na shehe) wiki iliyopita alikataa kuva jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia.

Wadhamini wa ligi hio ambao kwa namna wanaomlipa milioni 200 kila wiki wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achahue kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi afrika.

Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa, Je ni kipi atakichaua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.

wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida

Sasa hapo tatizo la pesa nini ? Hapo mgogoro ni mchezaji Vs imani yake ila pesa haina tatizo hapo . Achague imani yake au pesa . Simple
 
Dunia inapoelekea ni hatari sana,ukikataa agenda unakataa payroll
Mhhh , hapo kwenye payroll pagumu sana, najua Magufuli alikuwa na mapungufu mengi kwenye uongozi wake ila huenda ulikuwa ni mpango wa Mungu kutpa rais ambae angekuwa na msimami mkali kuhusu janga la covid, ingekuwa ni rais mwengine tungepigwa lock down
 
Mkuu hili suala litampoteza jamaa,atleast angekua mzungu ila muafrika na huo msimamo jamaa hatoboi
Shida tu mkuu, wamemweka kundi la "homophoboa" anaonekana ni mtu anaechukia mashoga na ukigundulika upo na hali hii kwa nchi za huko utakatiwa mirija mingi ya uchumi na hata kusagiwa kunguni ilimradi wakupeleke jela kwa kosa ambalo hujatenda
 
View attachment 2234299


katika hali kama hii ndipo unapoona wazi wazi bila kificho kwamba pesa zina elements kubwa sana za ushetani.

Mchezaji wa psg (timu hii inamilikiwa na shehe tajiri) wiki iliyopita alikataa kuvaa jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia, sababu yake kuu ni kwamba ni kinyume na asili yake na pia dini yake hairuhusu.

Sasa ishu inapokuja ni kwamba mchezaji huyu analipwa milioni 200 kila wiki na watu wanaofanikisha hilo jambo wao wanapenda kuunga mkono ushoga, wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achague kimoja kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi afrika.

Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa japo kuna picha za uzushi kama niliyoambatanisha zinasambaa .

Je ni kipi atakichagua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.

wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida.
Wamiliki wa hio timu ndio hao hao waliomletea hio dini anayokomaa nayo
 
Kwa jinsi jambo hili lilivyokwenda viral nilitegemea mabilionea wakiarabu wangempa support dogo kwa kumuambia shikilia msimamo wako usihofie kuhusu kupoteza kazi, sisi tutaku fadhili mamilioni ya pesa kwa kulinda misingi ya dini
 
View attachment 2234299


katika hali kama hii ndipo unapoona wazi wazi bila kificho kwamba pesa zina elements kubwa sana za ushetani.

Mchezaji wa psg (timu hii inamilikiwa na shehe tajiri) wiki iliyopita alikataa kuvaa jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia, sababu yake kuu ni kwamba ni kinyume na asili yake na pia dini yake hairuhusu.

Sasa ishu inapokuja ni kwamba mchezaji huyu analipwa milioni 200 kila wiki na watu wanaofanikisha hilo jambo wao wanapenda kuunga mkono ushoga, wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achague kimoja kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi afrika.

Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa japo kuna picha za uzushi kama niliyoambatanisha zinasambaa .

Je ni kipi atakichagua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.

wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida.
Dah!
Ngumu kumshauri.. aamue tu mwenyewe kupiga chini mpunga au la!!!
You mean mmiliki wa timu hiyo ni wa imani yake hiyo iyo?!
 
Back
Top Bottom