Pesa ni Shetani; Mchezaji aliyekataa kuvaa jezi ya kuunga ushoga alazimishwa kuchagua kati ya mshahara wa milioni 200 kila wiki ama kurudi Afrika

Humu JamiiForums kila nikiingia ni mada za ushoga ushoga sijui ni nini hiki nachokutana nacho au
 
Zanzibar ndipo ulipoanzia uislam?
Sasa ukisema hivyo unajua kwamba kabla ya Muhammad kulikuwa na imani zengine walizokuwa wakiziamini waarabu kutoka kwa mababu zao, hivyo pamoja na kuja uislamu wengine waliendelea na imani zao. Sasa inakuaje tuwape asili ya imani ya uislamu katika mazingira hayo kisa tu Muhammad alianza harakati zake za kiimani huko Makka ndio tuseme uislamu ni imani asili na waarabu?

Maana yake muarabu asiye muislamu yupo kinyume na asili yake?
 
TZ tuna mashoga wengi kweli
 
Ni kweli kwa sababu kila anayezaliwa ni muislam
 
Sasa kwanini unapinga ushoga mkuu?
 
Anakataa kuvaa jezi ila utakuta ni mshirikina kinoma.Kwanza Imani yake inaruhusu mipira?
Inaweza kuwa anafanya ushirikina hamdhuru mtu hivyo inabaki kuwa ni suala la yeye na Mungu wake, sasa na ushoga wangeacha watu wafokoane huku wenyewe na sio kutaka wengine wasapoti na kuwa sehemu ya muhamasishaji.
 
Mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndie ataokoka.
 
Hela kwanza,mbona ma chef kwwnye mahotel wale suruali fup mbona nguruwe wanaipika kama menu kawaida though wao hawaili.
Tena huo ndo mtihani mkubwa, kuna watz walikuwa wanawapikia wachina na hao wachina kila wiki lazima wachinje mbwa.
 
Na wakisha kupeleka Jela, lazima wakudunge sindano ya kukutia ushoga, na wwe mwenyewe ndiyo utaanza kutafuta mabasha wa kukuna Tigo!! Wazungu nyokoo sana!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
bahati mbaya au nzuri ni kuwa asilimia kubwa ya mabilionea wa kiarabu ndio wamiliki wa hizo timu na wameruhusu hilo jambo litokee kwenye timu zao.
Timu zina wenyewe brother,wao wanaweka pesa tu,wazungu hawawez kuwapa timu watu wa race nyingine kijinga tu!!hawana maamuz yoyotr kwenye masuala ya tamaduni na taratibu zao,wap wanatoa hela wanasubiri faida basii!
 
kwa aina ya comment unaweza kuwajua mashoga humu.
Kuliko kuunga mkono wasenge na mambo yao mwamba afanye kazi zingine yapo maisha nje ya mpira isiwe issue saana.
 
Kwa hiyo chimbuko la uislam lilianza maeneo mengine tofauti na hapo uarabuni?
 
Kwa hiyo chimbuko la uislam lilianza maeneo mengine tofauti na hapo uarabuni?
Point ni kuona waarabu wana asili na uislamu kwamba uislamu ni asili yao, ila kuhusu swali lako ni kwamba kwa mujibu wa uislamu wenyewe unazungumzia uislamu kuanza toka kwa Adamu huko na si kwamba umeanzia Arabuni kwa Muhammad.
 
Point ni kuona waarabu wana asili na uislamu kwamba uislamu ni asili yao, ila kuhusu swali lako ni kwamba kwa mujibu wa uislamu wenyewe unazungumzia uislamu kuanza toka kwa Adamu huko na si kwamba umeanzia Arabuni kwa Muhammad.
Nikweli waarabu ndio wenye asili ya uislamu na huko kwao ndiko kuna vitu vingi vya kumbukumbu kuhus uislamu

Hakuna ushahidi wa kihistoria wowote unaoonesha kulikuwa na uislamu kabla ya muhammad

Hiyo unaoisema wewe ni kama slogan ambayo kama dini iliamua kujichagulia kuitumia
 
Ina maana yeye ni muislamu kumzidi bosi wake yule shehe kutoka uarabuni,mmiliki wa timu??..waafrika tuna matumizi mabaya ya akili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…