The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
We mtanzania huwezi kuwa mdini kuliko waarabu wenyewe wenye dini yaoMuislamu kumzidi Boss wake maana yake nini?ukishakuwa muislamu imani uliyonayo ni wewe na Mungu wako,anaweza akawa anamzidi ndio,ila anayejua ni Mungu pekee,imani haina hatimiliki.
Mpuuzi ni ww unayekurupuka kuandika bila kufikiria kwa kina, jiulize kwann watu maarafu kama wachezaji,wanamiziki, waigizaji ndo wanapewa madeal yakupiga promo ushoga? Kapuku kama ww ukipiga promo ushoga nani atakuelewa?Huyo dogo ni mpuuzi tu.
Kuna mashekhe walikuja wakatuaminisha kwamba tusivae mashati fulani kwani hayo tukivaa tu tunawapigia promo freemasons.
Tunavaa mpaka kesho na hakuna rate yoyote ya watu kujiunga na freemasons.
sasa huyu jamaa naye sijui anafeli wapi,yeye angevaa tu Mungu sio mpuuzi kama anachukia ushoga Mungu anajua tu.
Afrika sisi watu nuksi sana wakisimama na wewe usifikiri watakusaidia ukiferi yeye angeacha mambo yaende yeye afanye kazi yakeNa atajua mbivu na mbichi, tena kapewa na choice ya kurudi Africa, hapo ashindwe yeye tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 2234299
Katika hali kama hii ndipo unapoona wazi wazi bila kificho kwamba pesa zina elements kubwa sana za ushetani.
Mchezaji wa PSG (timu hii inamilikiwa na shehe tajiri) wiki iliyopita alikataa kuvaa jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia, sababu yake kuu ni kwamba ni kinyume na asili yake na pia dini yake hairuhusu.
Sasa ishu inapokuja ni kwamba mchezaji huyu analipwa milioni 200 kila wiki na watu wanaofanikisha hilo jambo wao wanapenda kuunga mkono ushoga, wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achague kimoja kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi Afrika.
Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa japo kuna picha za uzushi kama niliyoambatanisha zinasambaa .
Je ni kipi atakichagua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.
wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida.
Mimi natetea haki za mashoga kufanya wanavyotaka lakini pia napinga mchezaji asiyependa kuvaa jezi zinazotetea ushoga kulazimishwa kuvaa jezi hizo.
Sio Mchezaji Vs Imani yake.... Imani ipo ndani ya mchezaji lwahiyo hapo ni mchezaji Vs Wavuruga imani na wavuruga imani ndio hao wanao mlipa mshahara kwa maana kama kumekuja sharti la kuvaa au kukosa mshahara basi ni wazi wenye kupalilia ushoga ndio haohao wenye kulipa pesa(mshahara)
Halafu wakiambiwa hizi tumeletewa tunashupaza shingo,cheki wamiliki wa hio team wamepiga kimya,kuna haja waafrica tujifikirie upya kuhusiana na hizi diniKwa jinsi jambo hili lilivyokwenda viral nilitegemea mabilionea wakiarabu wangempa support dogo kwa kumuambia shikilia msimamo wako usihofie kuhusu kupoteza kazi, sisi tutaku fadhili mamilioni ya pesa kwa kulinda misingi ya dini
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila watu jomone khaaahNingekuwa mm hapo ningesema ongezen mzigooo nipo tayari
Alitaka kuwafurahisha Wa africa, wee hujui, sasa ndo apambane kivyake.Afrika sisi watu nuksi sana wakisimama na wewe usifikiri watakusaidia ukiferi yeye angeacha mambo yaende yeye afanye kazi yake
Wanachoweza ni comment ya i stand with........Alitaka kuwafurahisha Wa africa, wee hujui, sasa ndo apambane kivyake.
Tembelea mahoteli ya kitalii mkuu kama unadhani ma chef wote ni makhafir.Una ushahidi wa hili uliloliandika hapa? Lengo lako Ni nini? Kuuchafua uislam? Umekukosea nini?
Mkuu kwanI lazima waonje,mkuu fanya utafiti kwenye mahteli ya kutaifa,au kwenye vyuo vya upishi kama wakatu wa mafunzo ya kuandaa huyo m.dudu waI wanatengwa kwaniMmmh we jamaa mchuzi wanaonjaje sasa
Humu watu hawaelewi haya mambo.Tena huo ndo mtihani mkubwa, kuna watz walikuwa wanawapikia wachina na hao wachina kila wiki lazima wachinje mbwa.
Mara nyingi nguruee huwa inatengenezwa kwa mtindo wa fry.no mchuzi.Mmmh we jamaa mchuzi wanaonjaje sasa