Pesa ni shortcut ya kumpata mwanamke, lakini kuhonga ni kujaribu kuficha udhaifu

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
mwanamke kama amekupenda wala hutumii mlungula,lakini kama hajakuelewa utatoa atalamba anapita vile.Wanaume tupige kazi muda ukifika fanya maamuzi sahihi.
 
Tafuta pesa acha mbambamba
 
Tuanzie Hapa,
Kwani kuhonga maana ake nn[emoji848]
 
Eti anatoa Ela ovyo ovyo,
Nyie vijana Hii tabia ya kupangia matumizi Ela za Watu mmezitoa wapi.
 
Ukiwa huna Ela,
Unaona wenye nazo nyingi ni Kama wanazitumia hovyo[emoji4]

Wito wangu: mtoa mada Katafute ela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…