Mjomba wako mpendwa jiwe alikuwa kibaka na ushahidi mnautoa wenyewe.Jamaa alikuwa tiipii kinoma.Halafu akishiba anajilaza juu ya jiwe kama karunguyeye!ππππ
Gaidi fake ni bingwa anadunda hadi leo!Yule jamaa kawa "monta" wa darasa la "marayeka" huko mbinguni.πππππMule mule kama gaidi akishiba anaenda dondoshwa na konyagi
Gaidi fake ni bingwa anadunda hadi leo!Yule jamaa kawa "monta" wa darasa la "marayeka" huko mbinguni.πππππ
Mjomba wako mpendwa jiwe alikuwa kibaka na ushahidi mnautoa wenyewe.Jamaa alikuwa tiipii kinoma.Halafu akishiba anajilaza juu ya jiwe kama karunguyeye!ππππ
Mapesa yanaibwa tangu era za rais wa kwanza lakini kwakua mmejaa upumbavu wa kisiasa mmekomaa na ambaye hayupo tena diniani, mkiwaaacha ambao bado wapo hai wakiendela kuzitafuna.
Hivi kuna awamu zimepiga hela kama zile za 3&4? Haya hii awamu ndio inafuja pesa kama hakuna kesho, ila bado mmekomaa mama...mama..mama...mama, wengi wenu ni wapumbavu msiokuwa na maisha.
NB: Huyo mama yenu mwenyewe hana hata mpango wa kuzifuatilia kwasababu wanajua utaratibu wa kuwa no 1 , lazima atulie ili akitoka nae alindwe kwa zile atakazokuwa amechota.
Umenishinda!Ngoja nibebe mizigo ya wateja hapa "Magufori terminal"!Ntakununulia bazooka baadaye!With thanks,honey!ππππGaidi orijino alijiwahi kulamba asali
Na weye unamtetea maliyemu mwizi?Ptuuuu!Pole sana.Nikukumbushe kitu, wewe ni mlala hoi mmoja tu hapa Tz na hauna chochote unachoweza kubadilisha. Kuna Rais gani ambaye hajaiba mapesa?
Huyo mama yako mwenyewe hana uwezo wa kuzfuatilia hizo pesa, ndio kwanza yupo busy kuchuma zake, ni lazima awalinde majizi ili nae alitoka alindwe.
Kivuko kukarabatiwa kwa 7.7B, daraja la miti kwa 7B, sio wizi ni nini?
Hawa watu hawajielewi yaani ukombozi mgumu sana kupatika kwa kizazi kilichizalishwa na chadema,tuvijana na tumakamo twa ovyo
"Ptuuu" ndio nini sasa?Na weye unamtetea maliyemu mwizi?Ptuuuu!Pole sana.
"Ptuuu" ndio nini sasa?
Kuwa wa kiume hata kwenye maandishi yako, vinginevyo nikuache hapa ujadiliane na mwanamke mwenzio Numbisa .
Matatizo yameegemea kwako.Unajichukiza kwa sababu sitetei ujinga uupendao.Ukiona hautaki nilichokiandika lala kushoto.Siyo lazima usome au ufuatilie nilichokiandika.Kwani JF ina members wangapi hadi usumbuke na mimi?Acha ubwabwa weye vipi?"Ptuuu" ndio nini sasa?
Kuwa wa kiume hata kwenye maandishi yako, vinginevyo nikuache hapa ujadiliane na mwanamke mwenzio Numbisa .
Acha ufala wewe unafikiri awamu zilizopita zilikuwa na wezi kama wa Awamu ya tano?ni vyema tukaanza kukusanya zote kuanzia awamu ya kwanza, ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano na hii ya sita pia.
Watanzania tunapaswa kuungana kupigana hii vita na sio kuwa mashabiki wa wanasiasa wa Tanzania ambao wote awamu zoote tabia ni zilezile..
Kwa ujinga huu ulio nao ndiyo maana jiwe alitumia nafasi vizuri kuiibia nchi na kujifanya mzalendo namba moja,wewe ukiona kiongozi yeyote yule duniani hataki vyombo vya habari vinavyofichua maovu na akapenda vyombo vya habari vya kumsifia sifia kila siku jua kuna shida kubwa hapo.Hakuna awamu ambayo haijawahi kuliibia Taifa hili, hasa kuanzia ya pili nakuendelea.
Tukitaka kupigana hii vita tuache unafiki.
Hao waliruhusu kusemwa wakiwa madarakani hivyo wananchi walitambua mazuri yao na madhaifu yao barabara.Palipokuwa na madhaifu wananchi walilalamika kwa uwazi na wakajibiwa kwa uwazi,sasa huyu mwizi wa uchaguzi hakutaka na hakupenda ndiyo maana ni rais wa kwanza kuongelewa vibaya Tanzania baada ya kifo chake.Katika Afrika Mashariki anashika nafasi ya tatu muda huu wa wale marehemu Nduli Idd Amin ni wa kwanza akifuatiwa na Mabotu wa Zaire.inawezekana kweli alikuwa mwizi, lakini hii haizuii kuwafumbia macho wengi pia waliokaa kwenye hiyo nafasi ambao walikuwa wezi kama yeye au zaidi yake..
Tunajisahau sana kwa kupambana na marehemu na kusahau wapo wezi wengi wako hai na bado wanaendelea kulitafuna Taifa kila siku..
Matendo yake na maneno yake ndiyo yanayomsakama.Mnavyo msakama Maguuli utadhani sasa hivi hakuna ufiasadi
Na matatizo makubwa yalianzia hapo,mtu yeyote mwenye akili timamu alitafakari hili.Mpwa aliwekwa kwenye kitengo cha pesa kusaidia haya .
I'm not suprised.
Mkitaka hayo muanze na awamu ya mzee Ruksa maana naye alipiga japo sio sana ila kwa magabacholi alizilamba lamba ili kuwaingiza mchezoni.
Mje awamu ya mzee wa Lupaso aliyeshusha midude kibao South huko kwa mipunga ya kuchekecha migodini na viwandani via privatization.
Mje na za chief wa Msowger alizodumbukiza homeshopping centre (GSM), zilizopigwa kwa trip za mfululizo na mikataba ya kimkakati mfano. TANESCO kupitia EPA na IPTL huko, NSSF kwenye miradi ya mchongo, BARRICK GOLD n.k.
Magufuli kupitia Mayanga Construction tenders. Hazina na manunuzi.
Huyu wa sasa sina hakika ila nafikiri show kali itahusisha tozo, mikopo ya nje na hazina kwa kiasi kikubwa. Many are yet to come tule popcorn zetu taratibu.
Awamu ya tano iliiba hela kuliko awamu zote,kumbuka mpwa wa mwenye nchi aliwekwa kwenye kitengo cha pesa,ni awamu pekee ambayo ikulu ya nyumbani kwa Rais wa nchi ilitumika sana mpaka marais kutoka China,Uganda,Rwanda na Kenya kufanya ni sehemu ya mikataba ya kisirisiri,na hata chaguzi za 2019 na 2020 zilionyesha kuwa Tanzania kuna matatizo mahali maana wale wote waliogombea kwenye vyama vingine vya siasa hawakujua kusoma na kuandika isipokuwa wagombea wa ccm.Watu hawapambani moja kwa moja na marehemu bali wanapambana na maozo ya marehemu ambayo yanagharimu usalama wa nchi.Mapesa yanaibwa tangu era za rais wa kwanza lakini kwakua mmejaa upumbavu wa kisiasa mmekomaa na ambaye hayupo tena diniani, mkiwaaacha ambao bado wapo hai wakiendela kuzitafuna.
Hivi kuna awamu zimepiga hela kama zile za 3&4? Haya hii awamu ndio inafuja pesa kama hakuna kesho, ila bado mmekomaa mama...mama..mama...mama, wengi wenu ni wapumbavu msiokuwa na maisha.
NB: Huyo mama yenu mwenyewe hana hata mpango wa kuzifuatilia kwasababu wanajua utaratibu wa kuwa no 1 , lazima atulie ili akitoka nae alindwe kwa zile atakazokuwa amechota.