Pesa pamoja na vyeo hupita, kama unabisha waulize watu wa sensa

Pesa pamoja na vyeo hupita, kama unabisha waulize watu wa sensa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Tusijisahau ndugu zangu, nikikumbuka Mzee wetu Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi alivyouacha uwaziri na kurudi mtaani na kupigika, sasa wewe unayewatisha watu kwa hako kacheo kako, siku zako zinahesabika, nazo zinapungua, anguko lako limekaribia.

Ishi vizuri na watu ukiwa juu ili utakapoanguka wakudake kwa mikono yao.
 
Tusijisahau ndugu zangu, nikikumbuka Mzee wetu rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi alivyouacha uwaziri na kurudi mtaani, na kupigika, sasa wewe unayewatisha watu kwa hako kacheo kako, siku zako zinahesabika, nazo zinapungua, anguko lako limekaribia.

Ishi vizuri na watu ukiwa juu ili utakapo anguka wakudake kwa mikono yao
Kama unamsema mzee wa double taxation a.k.a tozo umepiga wash out. Jamaa ana mabasi, kampuni za kubet na vituo vya wese.
 
😁😁😁😄😄😄😄😃😃😃😃😅😅😅😅😆😆😂😂😂
 
Chamsingi pesa au sio.

#MaendeleoHayanaChama
IMG-20220919-WA0023.jpg
 
Pesa ya sensa ilikuwa ya kipumbavu tu!
We leo unapewa laki mbili then baada ya wiki unapewa laki kadhaa... sas nd utaratibu gani huo,
Si kutengenez mising ya kuitafuna tu bila mafanikio
 
Tusijisahau ndugu zangu, nikikumbuka Mzee wetu Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi alivyouacha uwaziri na kurudi mtaani na kupigika, sasa wewe unayewatisha watu kwa hako kacheo kako, siku zako zinahesabika, nazo zinapungua, anguko lako limekaribia.

Ishi vizuri na watu ukiwa juu ili utakapoanguka wakudake kwa mikono yao.
Mnasakama makarani kama walipewa mamilioni!!!!
 
Back
Top Bottom