Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cku hizi wanataka ule na tigoKuutumia si ndio kusugua K kona zote na kugonga goroli kule kati
Kijana wa Tandale maskini au? Coz yule aliishi tu Tandale,Zari kamkuta na pesa zake,akiwa haishi tena Tandale.pesa ndo kila kituAise na mgengendo pia una nafas yake huon, Zari the boss akatoka kwa jamaa yake Mungu amulehemu) japo zilikuwepo pesa za kumwaga kaja kwa kijana wa Tandale, huoni utofaut huo,,[emoji2][emoji2]
Umeonaaaaa eeeeeeeh,,??Hakuna siku hata moja ambayo wanawake wameeleweka kuwa wanataka nini.
Kaka ulikuwa unatafutwa Kule kwenye Uzi mwingine.Je ulishaenda? Au upo hapa kwanza. Mana nasikia una uwezo wa kuperuzi Majukwaa yoyote kasoro la mapishi.La mapishi VP?[emoji119]Kuna wanawake hawaeleweki wanahitaji nini...ukiwapa hela kesho yake wanataka Mashine..duuuh akili zao wanazijua wenyewe
Kwa nini alitoka kwa Ivan?Kijana wa Tandale maskini au? Coz yule aliishi tu Tandale,Zari kamkuta na pesa zake,akiwa haishi tena Tandale.pesa ndo kila kitu
Huwezi kukumkuna mwanamke akiwa na njaa so pesa ni kila kitu hata ukiwa na mshipa utavumiliwa tuKwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Pesa ni chachandu tuu mkuu ila uwe na pesa na usijue kutia vizuri utagongewa sanaHuwezi kukumkuna mwanamke akiwa na njaa so pesa ni kila kitu hata ukiwa na mshipa utavumiliwa tu
Kwenda kwa tajiri mwingine maarufuKwa nini alitoka kwa Ivan?
Hahahaha uwe unaniita jikoni sasa...sawa eeeKaka ulikuwa unatafutwa Kule kwenye Uzi mwingine.Je ulishaenda? Au upo hapa kwanza. Mana nasikia una uwezo wa kuperuzi Majukwaa yoyote kasoro la mapishi.La mapishi VP?[emoji119]
Utagongewa ila atajificha ili asiharibu kibubu chake ila ukiwa naachine matata huna hela utagongewa live na wenye pesa na hutakuwa na la kusema aiseePesa ni chachandu tuu mkuu ila uwe na pesa na usijue kutia vizuri utagongewa sana
Pesa haitii wewe...[/QUOT
baelezeeeeeeeeeeee
Haaa haaaaa.Ila Watu wanadhani wewe sio mtu wa kawaida.Robot..nihakikishie Na unawezaje kuwa 'be the first to reply. Kwa nyuzi nyingiiiiii?Hahahaha uwe unaniita jikoni sasa...sawa eee
Nyie hamridhiki kwa chochote kama Mungu tu kashindwa waridhisha mpaka nyusi alizowaumba nazo mnazinyoa ma kuzichora upya kwa penseli, sisi tutawezaje kuwaridhisha jamani?huwezi kuelewa tunataka nini kama hujakaa chini na kuwaza kiundani sana usidhani pesa ndiyo kila kitu