The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,221
- 4,564
Mashine bila pesa utaambulia kula vibovu, pesa inaamua nani umgegede, where and when... Wake up bro !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka nakuona nakuonaaKabisa hawaridhiki yaani hata uwape dunia yote
Nipo Dada yangu mpendwaKaka nakuona nakuonaa
Waeleze walijue hilo si kuchomekea kumbe dakika 2Kwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Kwani kibamia ndo udogo kiasi gani ?Si mpaka sasa niwe na kibamia..hiyo sahau
Ningekuwa na picha ningekuonesha mkuuKwani kibamia ndo udogo kiasi gani ?
Wee mwanamke Wee khaah!!Pesa sabuni ya roho,kuhonjombora Hata kuku wanafanya tena hadharani wasivyo na Haya.
Unaweza ukawa na machine lakini kama huna ela demu wako anaweza megwa na kikongwe ambae mishipa ya machine imeshoka anataka joto tu lile atoe pesa.
Sasa kama unafikiri kuhonjombora deal siburini jazwa ujazwe
Wee mwanamke Wee khaah!!Pesa sabuni ya roho,kuhonjombora Hata kuku wanafanya tena hadharani wasivyo na Haya.
Unaweza ukawa na machine lakini kama huna ela demu wako anaweza megwa na kikongwe ambae mishipa ya machine imeshoka anataka joto tu lile atoe pesa.
Sasa kama unafikiri kuhonjombora deal siburini jazwa ujazwe
Haya mambo haya ni ya kuyaacha kama yalivoumbwa tu make mmmmhhhhhh.. .Hivi dear mahondaw nakuambia,pesa sabuni ya roho.
Upendo wa kweli upo lakini pesa inasaidia kusogeza siku na umpendae.
Sasa mkikosa chakula mtang'atana wenyewe mle nyama zenu??
Ndio unaomba bebe awe na mashine,lakini sio pampu Hata maji yanayo awe na chapaa pia hilo Ndio nenoHaya mambo haya ni ya kuyaacha kama yalivoumbwa tu make mmmmhhhhhh.. .
Pesa tamuuuu
Msuli nao mtamuuuuuuuuuu
Which is which haha
[HASHTAG]#Msulipesa[/HASHTAG]
Khakhaakhaa all in allNdio unaomba bebe awe na mashine,lakini sio pampu Hata maji yanayo awe na chapaa pia hilo Ndio neno
Eeh Ndio. Lakini rudisha avatar ya mwanzo hii sijaizoea..[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Khakhaakhaa all in all
Pesaa pesaa pesaaaaaaaa
Heshima pesaaaaaaaa they say