Mungu wala hawezi thibitika kwa mamna yoyote ile hizo unazosena wewe ni imani tu tuziache zibaki kama imani tu.Mungu ni mmoja tu ndiye ninaemzungumzia. Muumba wa mbingu na nchi pamoja na mimi na kila kitu.
Hii ni kwa imani yangu, naheshimu ya kwako japo kwangu sio sawa.
Mungu ni mmoja tu ndiye ninaemzungumzia. Muumba wa mbingu na nchi pamoja na mimi na kila kitu.
Hii ni kwa imani yangu, naheshimu ya kwako japo kwangu sio sawa.
Ningependa kuelezewa maana ya dhana "Mungu" kabla hujaendelea.Physically HAUWEZI, Spiritually UNAWEZA.
Ukiamka umekata kamba hata hayo matrilioni hauwezi kuyalipa, uhai wako ni nini?
Hauwezi kupata pesa ya kulipa Bill bila Mungu kwanza
Hauwezi kwenda kulipa Bill bila uhai kwanza
TAFAKARI
Kila kitu ni imani japo zingine zimekuwa automated unaona sio imani ni kawaida.Mungu wala hawezi thibitika kwa mamna yoyote ile hizo unazosena wewe ni imani tu tuziache zibaki kama imani tu.
Kwanza neno Mungu ni jina la utambulisho likitamkwa mtu anatambua unaongelea nini. Wengine husema God, Allah,Yehova Adonai, Brahma nk. Kutegemeana na jamii husika.Ningependa kuelezewa maana ya dhana "Mungu" kabla hujaendelea.
Dhana au neno "Mungu" ni nini? Au ni nani? Ni kitu gani?
Alikudanganya nani? Maisha ni ngono na ngono ni maisha broo.Maisha ni zaidi ya hili..
SanaKibunda ni muhimu
Kosa pesa ukose vyote.Kabla ya kuja Kwa monetary system African people walikuwa wanaishi kupitia burter trade..
Msingi ukiwa ni kilimo uvuvi na ufugaji.
Dunia ya Sasa Hela Sio kila Kitu kama utakuwa una moja Kati ya
Amani katika familia
Afya bora, Kilimo
Ukiwa mkulima Kwa namna yoyote either directly or indirectly utakuwa na uhakika wa chakula yes
Unaenda kazini ili upate kula..
Linda Sana Amani na afya alafu kuwa na uhakika wa chakula mengine baaade
This is not poor mind
So ungambile stupid infront of the public eeh.Poor mind as the result of poor people
Therefore poor you
Wakola mpaoooSo ungambile stupid infront of the public eeh.
Sawa mie poor brain nakubali maana imeandikwa ata kwenye bible kuwa mzinzi hana akili. So u r very ryt my frend and napenda kuendelea kiwa maskini wa akili lakini tajiri wa mbususu
Lugha gani tena hii mwanawaneWakola mpaooo
Kabla ya kuja Kwa monetary system African people walikuwa wanaishi kupitia burter trade..
Msingi ukiwa ni kilimo uvuvi na ufugaji.
Dunia ya Sasa Hela Sio kila Kitu kama utakuwa una moja Kati ya
Amani katika familia
Afya bora, Kilimo
Ukiwa mkulima Kwa namna yoyote either directly or indirectly utakuwa na uhakika wa chakula yes
Unaenda kazini ili upate kula..
Linda Sana Amani na afya alafu kuwa na uhakika wa chakula mengine baaade
This is not poor mind
Sawa tuko pamoja ππΎKwanza neno Mungu ni jina la utambulisho likitamkwa mtu anatambua unaongelea nini. Wengine husema God, Allah,Yehova Adonai, Brahma nk. Kutegemeana na jamii husika.
Mungu ni nguvu (power or energy). Unaweza kujiunganisha na hiyo nguvu kutekeleza jambo lolote.
Anhaa....!! kumbe kwa maelezo yako "Mungu" ni nguvu ambayo ndiyo imeiunda hii dunia na tunaweza kuitumia kwa manufaa fulani?Mfano, Umeme ni nguvu iliyopewa jina la umeme. Mtu anaweza kuunganisha jiko kwenye hii nguvu akapika, balbu ya kijani, nyekundu au bluu akapata mwanga anaotaka, pasi akanyoosha nguo. Lakini kufanya yote haya lazima kuzingatia kanuni za matumizi vinginevyo itakuwa majanga.
kwa ufupi, sijui kama nimeweza kujibu ulichotaka
Ndugu, hii nguvu is neither created nor destroyed. Na kila kitu ni nguvu, kimeundwa na nguvu.Sawa tuko pamoja ππΎ
Anhaa....!! kumbe kwa maelezo yako "Mungu" ni nguvu ambayo ndiyo imeiunda hii dunia na tunaweza kuitumia kwa manufaa fulani?
Kwamba ni kama nguvu ya umeme na kwa uelewa wangu mkuu, vyanzo vya nguvu ya umeme ni vingi mfano:
Renewable sources - Maji[H.E.P], Upepo[Turbines], Jua[Solar], Mawimbi ya bahari[Tidal].
Non-renewable sources - Oil, Natural gas, Nuclear fossils.
Kwakua umeme unajikana chanzo chake ni nini?
Ningependa uendelee kunifundisha ni nini Chanzo cha "Mungu"?.
Unaposema pesa sio kila kitu hakikisha unazo kwanza ndo useme.Kabla ya kuja Kwa monetary system African people walikuwa wanaishi kupitia burter trade..
Msingi ukiwa ni kilimo uvuvi na ufugaji.
Dunia ya Sasa Hela Sio kila Kitu kama utakuwa una moja Kati ya
Amani katika familia
Afya bora, Kilimo
Ukiwa mkulima Kwa namna yoyote either directly or indirectly utakuwa na uhakika wa chakula yes
Unaenda kazini ili upate kula..
Linda Sana Amani na afya alafu kuwa na uhakika wa chakula mengine baaade
This is not poor mind
Kwa muongozo wako Mungu ndiyo "Energy".Ndugu, hii nguvu is neither created nor destroyed. Na kila kitu ni nguvu, kimeundwa na nguvu.
Ni Alfa na Omega kwa watu wa dini
Kwa wana sayansi ni Neither Created nor destroyed.
Ipo na itakuwepo
Pesa si kila kitu lakini hata kuandika pesa si kila kitu hapa JF umehitaji internet inayolipiwa kwa pesa.Kabla ya kuja Kwa monetary system African people walikuwa wanaishi kupitia burter trade..
Msingi ukiwa ni kilimo uvuvi na ufugaji.
Dunia ya Sasa Hela Sio kila Kitu kama utakuwa una moja Kati ya
Amani katika familia
Afya bora, Kilimo
Ukiwa mkulima Kwa namna yoyote either directly or indirectly utakuwa na uhakika wa chakula yes
Unaenda kazini ili upate kula..
Linda Sana Amani na afya alafu kuwa na uhakika wa chakula mengine baaade
This is not poor mind