Pesa za biashara kuchukuliwa zote kwenye droo ya kuhifadhia pesa kimazingira

Njia za Giza Biashara ipo nyumbani na nakaa mm ma Wife tu
Hakuna cha njia za giza

Mbona wanasema kwenye nguvu za giza pesa haina thamani na ndio maana wachawi wanaweza kuja kukukaba wakakuta mezani kuna milioni na home wamepika tembele lakini wakaiacha

Wewe hela umepoteza kwa njia ya kawaida tu zidisha umakini. Otherwise umetapeliwa bila kujua.
 
Dah!
 
Ninachojua chumaulete wabachukua asilimia tuu na sio mzigo wote... Hebu acheki humo ndani kama hakuna panya

Hili la pesa za mauzo kuondoka sote limenitafakarisha
mkuu limeninyima usingizii now DUKANI nakava mwenyewe sitakiii aingie mtu mwengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…