Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Jana nilikuwa natembea tembea nikafika mahala gari yangu ikamaliza mafuta ikabidi niende sheli nikaweke mafuta wakati dada mmoja ananiwekea mafuta nikawa nimetelemka kama kuingalia gari yangu kwa nyuma nilihisi kuwa labda jamaa mmoja amenikwaluza nikiwa naandalia gari nikaonana na jamaa ambaye tulisoma naye chuo mimi nikawa nimepata kazi ya kuajiliwa nataka kuondoka jamaa ana hammer yake tukaenda hoter mmoja yenye ghalama ile mbaya tukakaa nikaanza kuuliza vipi bwana pesa ulipata wapi
jamaa akaanza kucheka sana akasema kuwa kama nataka utajiri nimwambie tu anipe nikamwambia kuwa hebu nipe jamaa akasema kuwa anipeleke kwa mganga ambaye atanipa dawa ya utajiri ambayo kafara yake ni wanawake wenye tamaa na hela tu wewe unamwita demu tu akishakuja tu wewe unampa hela halafu unaanza kumwambia kuwa baby nimepigiwa simu poa niende ila usitembee naye tu hela zako zinaanza kuongezeka tu na yeye ataandamwa na matatizo mengi sana
nilichojifunza jana kumbe wanawake wanaopenda hela wanashida sana imebidi leo nipige maombi kabisa jamaa baadae nikamuacha ili niwahi nyumbani leo
najua mkuu ila share nasi hizo myth moja mbili tatu ulizowahi sikia.Ni Myth Tu Mkuu.
Share nasi mkuu kisa ulichowahi kusikia
kusimuliwa na mganga ndo uamini mkuu????TRUE STORY NILISIMULIWA NA MGANGA ALIYE WAPA UTAJIRI.
upo sehemu gani mkuu, hahahaha....Sijui tulikuwa wote juzi tu nilikua na marafiki zangu wawili tukizingumzia hii ishu
najua mkuu ila share nasi hizo myth moja mbili tatu ulizowahi sikia.
Note: nimesema nimesimuliwa sijasema nimeamini kua makini..kusimuliwa na mganga ndo uamini mkuu????
SERIOUSLY? TELL ME YOU ARE NOT TELLING A JOKEKuna mwengine tunaishi mtaa mmoja... yeye havai suruari.. hata akinunua mpya lazima aikate chini.. na kila mwaka anabadili pikipiki..
Kuna jamaa pale iringa anamilika gari za usafir lkn chakushangaza yeye ni mpiga debe
Sawa mkuuNote: nimesema nimesimuliwa sijasema nimeamini kua makini..
NB: Nahuyo Mzee aliepata utajiri alishafirisika inadaiwa ndugu walichukia wakaenda kuharibu wakijua amemtoa kafara mwenzake.