Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Najua wewe mwanajamii mwenzangu ushawahi kusimuliwa ama kusikia kuhusu fedha hizo, au mtu mwenye nazo, au uko nazo basi huu ni uzi wa kushare nasi visa hivyo.
Mimi niliwahi kusikia tajiri mmoja hivi huwa analala chini, na ana noti ya tsh elfu kumi ambayo haitumiagi miaka nenda rudi ndo inayomlindia pesa zake.
Mwingine huwa anaoza ndo pesa zinaingia,wengine ati wana vidonda visivyo pona kadri vinavyooza ndo pesa zinaingia and so many blah blah blah.
Karibu share nasi.
Mimi niliwahi kusikia tajiri mmoja hivi huwa analala chini, na ana noti ya tsh elfu kumi ambayo haitumiagi miaka nenda rudi ndo inayomlindia pesa zake.
Mwingine huwa anaoza ndo pesa zinaingia,wengine ati wana vidonda visivyo pona kadri vinavyooza ndo pesa zinaingia and so many blah blah blah.
Karibu share nasi.