Pesa za Umma zinatumika vibaya na tuko kimya kama kondoo

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Nimeona upuuz wa kizmkazi na tukio la kufuja pesa za wananchi wafuja jasho

Watu wa kada mbali mblia redio kubwa kubwa zote ziliamia kizimkaz kurusha matangazo live na Leo kukuzanya wakuu wote wa mikoa na wilaya kulazimizhwa kufika zanzibar kizmkazi.

Watanganyika umetulia kama kondoo huku pesa zetu zikiibiwa mchana kweupe
 
😂😂😂
😂😂😂Bro andika na upya
 
Mkuu
Mkuu! Kwa sasa Tanzania tunaongozwa na wazanzibar. Watu wa Bara tusubir 2025 😢😢
 
Atatoka tu, kwani kazaliwa na Urais.., muda ni kitu cha ajabu sana.., na i promise you, hao wala urojo Watacheua na kutapika pesa zote za kuuza bandari na mbuga za wanyama..
 
Kuna kuibiwa na matumizi mabaya ya pesa. Unazungumzia kipi kati ya hivyo viwili kuhusu matumizi ya kizimkazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…