dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
😂😂😂Bro andika na upyaNimeona upuuz wa kizmkazi na tukio la kufuja pesa za wananchi wafuja jasho
Watu wa kada mbali mblia redio kubwa kubwa zote ziliamia kizimkaz kurusha matangazo live na Leo kukuzanya wakuu wote wa mikoa na wilaya kulazimizhwa kufika zanzibar kizmkazi.
Watanganyika umetulia kama kondoo huku pesa zetu zikiibiwa mchana kweupe
Ila kijana tatizo lko bdo hujalitatua una haraka sanaaa embu kaa tulia andika kitu kielewekeNimetaarifa ni bilion 10 zimetuka kula rah na wakuu wote
Mkuu! Kwa sasa Tanzania tunaongozwa na wazanzibar. Watu wa Bara tusubir 2025 😢😢Nimeona upuuz wa kizmkazi na tukio la kufuja pesa za wananchi wafuja jasho
Watu wa kada mbali mblia redio kubwa kubwa zote ziliamia kizimkaz kurusha matangazo live na Leo kukuzanya wakuu wote wa mikoa na wilaya kulazimizhwa kufika zanzibar kizmkazi.
Watanganyika umetulia kama kondoo huku pesa zetu zikiibiwa mchana kweupe
🤣🤣.tutafik t mkuuWanasemaga dua la kuku halimpati mwewe ila huyu bibi akivuta hata sasa hivi naenda kukesha bar.
Mbwa anatekwaje kaka?Huogopi kutekwa?
Atatoka tu, kwani kazaliwa na Urais.., muda ni kitu cha ajabu sana.., na i promise you, hao wala urojo Watacheua na kutapika pesa zote za kuuza bandari na mbuga za wanyama..Nimeona upuuz wa kizmkazi na tukio la kufuja pesa za wananchi wafuja jasho
Watu wa kada mbali mblia redio kubwa kubwa zote ziliamia kizimkaz kurusha matangazo live na Leo kukuzanya wakuu wote wa mikoa na wilaya kulazimizhwa kufika zanzibar kizmkazi.
Watanganyika umetulia kama kondoo huku pesa zetu zikiibiwa mchana kweupe
Seriously?Nimetaarifa ni bilion 10 zimetuka kula rah na wakuu wote
Mungu atawaongoza Watanzania...atawaondolea dhiki kwa njia anayoijua🙏🤲Nchi hii mambo yasiyo kuwa na maana yanapewa kipaumbele
Ova
Kuna kuibiwa na matumizi mabaya ya pesa. Unazungumzia kipi kati ya hivyo viwili kuhusu matumizi ya kizimkazi.Nimeona upuuz wa kizmkazi na tukio la kufuja pesa za wananchi wafuja jasho
Watu wa kada mbali mblia redio kubwa kubwa zote ziliamia kizimkaz kurusha matangazo live na Leo kukuzanya wakuu wote wa mikoa na wilaya kulazimizhwa kufika zanzibar kizmkazi.
Watanganyika umetulia kama kondoo huku pesa zetu zikiibiwa mchana kweupe