kj75
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 539
- 637
Bado 50m zimeenda yangaNimeona upuuz wa kizmkazi na tukio la kufuja pesa za wananchi wafuja jasho
Watu wa kada mbali mblia redio kubwa kubwa zote ziliamia kizimkaz kurusha matangazo live na Leo kukuzanya wakuu wote wa mikoa na wilaya kulazimizhwa kufika zanzibar kizmkazi.
Watanganyika umetulia kama kondoo huku pesa zetu zikiibiwa mchana kweupe
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app