Pesa zangu ni zangu sijaja duniani kusaidia Ulimwengu

Pesa zangu ni zangu sijaja duniani kusaidia Ulimwengu

Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu nihangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee mtu mmoja aseme eti saidia wasiojiweza, mara saidia yatima. Hivi mna akili kweli? Mimi ndio niliofanya watu hao wasijiweze au mimi ndio baba au Serikali ya hao watoto kwenye hii dunia useme utoe hela umsaidie asiejiweza utawamaliza pesa zangu nitazila mpaka nitakapo kufa kamari niicheze Kwa kurisk pesa zangu nyingi halafu wajinga fulani waje kuzila huku nikiwa hai nawaona ningekua sina pesa nani angeniasidia hapana aisee pesa zangu ni zangu najua mtakuja kusema.

Nina roho mbaya potelea mbali.
Hayo ni mawazo ya kila masikini

ukipata hela utabadilika

umasikni unaleta chuki na choyo
 
Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu nihangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee mtu mmoja aseme eti saidia wasiojiweza, mara saidia yatima. Hivi mna akili kweli? Mimi ndio niliofanya watu hao wasijiweze au mimi ndio baba au Serikali ya hao watoto kwenye hii dunia useme utoe hela umsaidie asiejiweza utawamaliza pesa zangu nitazila mpaka nitakapo kufa kamari niicheze Kwa kurisk pesa zangu nyingi halafu wajinga fulani waje kuzila huku nikiwa hai nawaona ningekua sina pesa nani angeniasidia hapana aisee pesa zangu ni zangu najua mtakuja kusema.

Nina roho mbaya potelea mbali.
Ur entitled to ur own opinion, Ila, huwezi, kutoa ambacho huna,
Fedha uliyonayo inakutosha wewe tu, hata dunia haitegemi kitu kutoka kwako, just sit back and enjoy! Wenye nazo kutoa, sio home, hoja kwao watoe kwa nani na kiasi gani,
Cheki huyu kwamba,
Tonyelumerufoundation.org, cheki huyo mwamba anavyosaidia vijana wa Africa,
The bible says, "to whom much is given, much is required"
Sasa hata unwshindwa hata Kuonga dem 500K, au, kusomesha veta mtoto wa ndugu, and you call urself Man!
 
Mimi kama Sina hela route yangu ni moja tu nyumbani-kazini, bar sitaki hata kupaona Huwa napita mbali, mara nyingine weekend naweza amua nalala... Nikipata hela nakula Bata kimpango wangu nazima hata simu, weekend naenda viwanja vya mbali agiza misosi na tungi najipongeza... Sasa unamkuta mtu Yuko bar anaomba omba kununuliwa pombe mathr fucker kabisa...

Sasa Nina washkaj hao utakuta oya Leo niazime ten mara haijapita wiki mara hela Tena huu upimbi unakera sana.
hao tunaita chawa sasa
 
Ur entitled to ur own opinion, Ila, huwezi, kutoa ambacho huna,
Fedha uliyonayo inakutosha wewe tu, hata dunia haitegemi kitu kutoka kwako, just sit back and enjoy! Wenye nazo kutoa, sio home, hoja kwao watoe kwa nani na kiasi gani,
Cheki huyu kwamba,
Tonyelumerufoundation.org, cheki huyo mwamba anavyosaidia vijana wa Africa,
The bible says, "to whom much is given, much is required"
Sasa hata unwshindwa hata Kuonga dem 500K, au, kusomesha veta mtoto wa ndugu, and you call urself Man!
Fanya kazi ngedere wewe hamna vya bure
 
Nimepitia umasikini uliokubuhu ila sijawahi kuomba pesa. Hata kama pesa imeokotwa, nako kuokota ni jasho, ni kwa nini na wewe usiokote? Hakuna kuomba pesa kama upo timamu, fanya kazi upate pesa, sio kuomba.
Bado hujapitia shida umeshawahi kuumwa umelala kitandani miaka kama mitano hivi hufanyi kazi uone kama utaomba hela
Hujafa hujaumbika
 
Back
Top Bottom