Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,532
- 2,065
Kazi unayopigia kelele ndio hiyo ya kubet?Fanya kazi ngedere wewe hamna vya bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi unayopigia kelele ndio hiyo ya kubet?Fanya kazi ngedere wewe hamna vya bure
Familia Je?Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu ni hangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee kenge mmoja aseme eti saidia wasiojiwezamara saidia yatima hivi mnaakili kweli Mimi ndio niliofanya watu hao wasijiweze au Mimi ndio baba au serikali ya hao watoto kwenye hii dunia useme utoe hela umsaidie asiejiweza utawamaliza pesa zangu nitazila mpaka nitakapo kufa kamari niicheze Kwa kurisk pesa zangu nyingi halafu wajinga Fulani waje kuzila huku nikiwa hai nawaona ningekua Sina pesa nani angeniasidia hapana aisee pesa zangu ni zangu najua mtakuja kusema. Nina roho mbaya potelea mbali
Fanya kazi ngedere wewe hamna vya bureNaona ile ID ya Chief Godlove imepumzishwa kwa muda baada ya mashambulizi kuzidi.
Fanya kazi ngedere wewe hamna vya bureKazi unayopigia kelele ndio hiyo ya kubet?
Hujakutana na mie wewe. Utatoa zote. Tena huku unalia
Ni mtu mmoja check anavyo-sound yaani haihitaji hata D mbili...Naona ile ID ya Chief Godlove imepumzishwa kwa muda baada ya mashambulizi kuzidi.
Sema Mtanzania, sio binadamu maana binadamu ana heshima na kujua kipi sio chake.Ukitaka ugombane na kiumbe kinaitwa binadamu kikopeshe pesa Yako
Binadamu yeyote kwenye pesa Kaa nae mbali ipo siku mtagombanaSema Mtanzania, sio binadamu maana binadamu ana heshima na kujua kipi sio chake.
😂😂😂😂😂😂😂 Nigombane na mtu ambaye kapaki gari uwani na kuchukua million 2. Utagombana na hao wasio na collateralBinadamu yeyote kwenye pesa Kaa nae mbali ipo siku mtagombana
Duniani hukujileta, uliletwa. Hao waliokuleta walipoteza pesa zao kwa ajili yako. Leo wewe hutaki kusaidia pesa wengine??? 🤔Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu nihangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee mtu mmoja aseme eti saidia wasiojiweza, mara saidia yatima. Hivi mna akili kweli? Mimi ndio niliofanya watu hao wasijiweze au mimi ndio baba au Serikali ya hao watoto kwenye hii dunia useme utoe hela umsaidie asiejiweza utawamaliza pesa zangu nitazila mpaka nitakapo kufa kamari niicheze Kwa kurisk pesa zangu nyingi halafu wajinga fulani waje kuzila huku nikiwa hai nawaona ningekua sina pesa nani angeniasidia hapana aisee pesa zangu ni zangu najua mtakuja kusema.
Nina roho mbaya potelea mbali.
Kweli mkuu halafu sikuhizi watu wamekuwa ombaomba kupita kiasi yaani kama mimi karibia kila siku nakutana na vizinga sio wanaume sio wanawake , ndugu hadi marafiki .Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu nihangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee mtu mmoja aseme eti saidia wasiojiweza, mara saidia yatima. Hivi mna akili kweli? Mimi ndio niliofanya watu hao wasijiweze au mimi ndio baba au Serikali ya hao watoto kwenye hii dunia useme utoe hela umsaidie asiejiweza utawamaliza pesa zangu nitazila mpaka nitakapo kufa kamari niicheze Kwa kurisk pesa zangu nyingi halafu wajinga fulani waje kuzila huku nikiwa hai nawaona ningekua sina pesa nani angeniasidia hapana aisee pesa zangu ni zangu najua mtakuja kusema.
Nina roho mbaya potelea mbali.
Ulishashinda kiasi gani?Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu nihangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee mtu mmoja aseme eti saidia wasiojiweza, mara saidia yatima. Hivi mna akili kweli? Mimi ndio niliofanya watu hao wasijiweze au mimi ndio baba au Serikali ya hao watoto kwenye hii dunia useme utoe hela umsaidie asiejiweza utawamaliza pesa zangu nitazila mpaka nitakapo kufa kamari niicheze Kwa kurisk pesa zangu nyingi halafu wajinga fulani waje kuzila huku nikiwa hai nawaona ningekua sina pesa nani angeniasidia hapana aisee pesa zangu ni zangu najua mtakuja kusema.
Nina roho mbaya potelea mbali.
😁😁😁Una pesa ya kutoa wewe ? kuoga tu tatizo .!
Huku analia sio alafu akitoka hapo anajiuliza imekuaje ametoa lakini kesho anarudi tenaHujakutana na mie wewe. Utatoa zote. Tena huku unalia
Hata mie utanitosa mkuu uki-win?Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu nihangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee mtu mmoja aseme eti saidia wasiojiweza, mara saidia yatima. Hivi mna akili kweli? Mimi ndio niliofanya watu hao wasijiweze au mimi ndio baba au Serikali ya hao watoto kwenye hii dunia useme utoe hela umsaidie asiejiweza utawamaliza pesa zangu nitazila mpaka nitakapo kufa kamari niicheze Kwa kurisk pesa zangu nyingi halafu wajinga fulani waje kuzila huku nikiwa hai nawaona ningekua sina pesa nani angeniasidia hapana aisee pesa zangu ni zangu najua mtakuja kusema.
Nina roho mbaya potelea mbali.