Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Yupo slow sana, back pass nyingi labda ball control anajitahidi ila kiufupi hatishi yani hafiki hata kwa Tepsi Evans (19) au Denis nkane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dogo hastahili sifa anazopewa uwezo wa kawaida Yaani..leo utaona vijana wazawa kina Meshack abraham watavyokiwasha.Kwani jana alicheza huyo Peter Banda?
Malawi hawakufikisha hata pasi 50 aibu.Haya sawa.
Hongera zako kwa kumfatilia Peter Banda.
Kipaji ni J. mwinuke Tu hawa wengine kina sakho,mhilu show game tu mechi ngumu hawana maajabu.Katika kitu ambacho kilionyesha viongozi wa Simba kwenye usajili ni weupe ni kusajili watoto wengi ambao wao waliamini Simba itawasubiri mbaka wang'are.
Hakuna Klabu kubwa Duniani yenye presha ya matokeo inayo msubiri mchezaji apewe muda awe nyota. Klabu kubwa zinacho itaji ni matokeo, Klabu kubwa hazijali umri wa mchezaji zaidi ya Matokeo Bora.
Mambo ya kukuza vipaji zina achiwa Klabu ndogo na za wastani kwakua hazina presha ya matokeo.
Sawa.Malawi hawakufikisha hata pasi 50 aibu.
Afcon ni kombe au utopolo!Sawa.
Kwanini unasema Malawi"awajafikisha pasi hamsini aibu"aibu kivipi wakati mpaka hapo walipofikia ni hatua kubwa?
Kuingia robo fainali Afcon sio hatua ndogo ndugu.!
Afcon ni kombe au utopolo!
Robo fainali ipi? Maana robo haijaanzaSawa.
Kwanini unasema Malawi"awajafikisha pasi hamsini aibu"aibu kivipi wakati mpaka hapo walipofikia ni hatua kubwa?
Kuingia robo fainali Afcon sio hatua ndogo ndugu.!
Mkuu, yaani unaifuatilia hadi Malawi sababu ya kumchukia Peter Banda? Watanzania tuache uchizi wa mpira wa miguu, imekuwa too much. Yaani soccer imekuwa na chuki ndani yake kiasi kama hiki cha kufuatilia hadi timu ya taifa yenye mchezaji wa wapinzani wako! Ni ujinga haswaa!Malawi hawakufikisha hata pasi 50 aibu.
Hawa ndio wale aliowasema eymaelHii naongea na mtu wa aina gani huyu!
Ngoja nikuteme.
Sijui mnataka wafanyeje sasa hao Simba maana wakisajili ambao sio watoto mnasema wamesajili wazee. Hawana jema Simba Sc.Katika kitu ambacho kilionyesha viongozi wa Simba kwenye usajili ni weupe ni kusajili watoto wengi ambao wao waliamini Simba itawasubiri mbaka wang'are.
Hakuna Klabu kubwa Duniani yenye presha ya matokeo inayo msubiri mchezaji apewe muda awe nyota. Klabu kubwa zinacho itaji ni matokeo, Klabu kubwa hazijali umri wa mchezaji zaidi ya Matokeo Bora.
Mambo ya kukuza vipaji zina achiwa Klabu ndogo na za wastani kwakua hazina presha ya matokeo.