3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
tanzania ya kina tespsiw na nkane imefikia wapi bwana utoMalawi hawakufikisha hata pasi 50 aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tanzania ya kina tespsiw na nkane imefikia wapi bwana utoMalawi hawakufikisha hata pasi 50 aibu.
Nimeshangaa Sana!!!!Afcon ni kombe au utopolo!
Yupo slow sana, back pass nyingi labda ball control anajitahidi ila kiufupi hatishi yani hafiki hata kwa Tepsi Evans (19) au Denis nkane.
banda ni mchezaji wa kawaida sana sio mchezaji wa kumtegemea sana. uchezaji wake hana tofauti na kihimbwa wa mtibwa sugar au awesuWewe sio Mpenzi wa Football ni Shabiki Wa Football, ukiwa Mpenzi wa Football Utajua Banda ni Nani?
Usiifananishe taifa stars na hao best loosertanzania ya kina tespsiw na nkane imefikia wapi bwana uto
Afcon hamna kitu. siwezi kufuatilia ujinga huoHii naongea na mtu wa aina gani huyu!
Ngoja nikuteme.
Na lile goli la Malawi kuna uwezekano likawa goli bora la mashindano.Sawa.
Kwanini unasema Malawi"awajafikisha pasi hamsini aibu"aibu kivipi wakati mpaka hapo walipofikia ni hatua kubwa?
Kuingia robo fainali Afcon sio hatua ndogo ndugu.!
Una stress za kuachwa sio bure!Naona umefungua uzi afu umeanza kujijibu kwa IDs nyingine.
Aliowasema Rage kuwa ni mbumbumbu?Hawa ndio wale aliowasema eymael
Mi ni shabiki wa simba damu ila ukweli usemwe kwa banda tumepigwa bora hata Duncan nyoni the magic monster.Yaani Wonder Kid na tepsie unaanzaje kuwafananisha na huyo mayai mayai?
Magoli kama yale Fei toto anayo kama manne hivi.Na lile goli la Malawi kuna uwezekano likawa goli bora la mashindano.
TAKATAKAYupo slow sana, back pass nyingi labda ball control anajitahidi ila kiufupi hatishi yani hafiki hata kwa Tepsi Evans (19) au Denis nkane.
Ata huo ushabiki wake ni ushabiki maandazi.Wewe sio Mpenzi wa Football ni Shabiki Wa Football, ukiwa Mpenzi wa Football Utajua Banda ni Nani?
mbumbumbu hawalijui hili kabisa.Katika kitu ambacho kilionyesha viongozi wa Simba kwenye usajili ni weupe ni kusajili watoto wengi ambao wao waliamini Simba itawasubiri mbaka wang'are.
Hakuna Klabu kubwa Duniani yenye presha ya matokeo inayo msubiri mchezaji apewe muda awe nyota. Klabu kubwa zinacho itaji ni matokeo, Klabu kubwa hazijali umri wa mchezaji zaidi ya Matokeo Bora.
Mambo ya kukuza vipaji zina achiwa Klabu ndogo na za wastani kwakua hazina presha ya matokeo.
Timu yako ya Taifa ilipiga pasi ngapi Afcon? Yaani litimu lako la Taifa limebaki kushabikia tu national teams zingine halafu we shangazi unaanza kuibeza national team nyingine iliyojitahidi kufika pale ambapo giant Ghana hakufika.Sikufahamu ila kwa wivu huu hutakosa kuwa KE wewe.Malawi hawakufikisha hata pasi 50 aibu.
Ili nililisema humu kilichotokea watu wakaanza nifuata Inbox na Matusi ya Mama.Yupo slow sana, back pass nyingi labda ball control anajitahidi ila kiufupi hatishi yani hafiki hata kwa Tepsi Evans (19) au Denis nkane.
🚮🚮🚮🚮🚮Usiifananishe taifa stars na hao best looser