Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's not your time, it's his time. Why should you bother behind keyboard then?Wastage of time
yaani hata kama wakiifuta baadaye, ila tayari tushajua kumbe Buswalo anashitakika as a person tena mbele ya Hakimu.Madeleka kuna uwezekano mkubwa ana shida ya afya ya akili. msaidieni mlio karibu naye. kwahiyo anategemea kumshitaki mh Jaji mbele ya Hakimu? na kesi yake hiyo si nilisikia kwamba alikiri yeye mwenyewe kwa plea bargaining?
Hii hati Ina makosa tayari. Wakili Msomi madeleka, punguza jazba, unakuwa na haraka sana ya kukimbilia Mitandaoni. I Frame upya. Wataipiga chini.
Kupitia ukurasa wake rasmi wa X (Twitter) Peter Madeleka anaandika
HAWAKO juu ya SHERIA na wala HAWANA KINGA ya kutoshitakiwa KIJINAI. Naishukuru Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwa KUIPOKEA kesi hii kwa ADMISSION No. AD/RM/ARS/91511/2023
View attachment 2840791
sawa tofaut ya judge na hakimu mi sijajua ni ipi?Madeleka kuna uwezekano mkubwa ana shida ya afya ya akili. msaidieni mlio karibu naye. kwahiyo anategemea kumshitaki mh Jaji mbele ya Hakimu? na kesi yake hiyo si nilisikia kwamba alikiri yeye mwenyewe kwa plea bargaining?
Sended!! Hahaaaa!!But massage sended
Madeleka anataka kucheza mchezo wa wale watuhumiwa wanao hojiwa police wanakiri makosa yao kwenye statements zao alafu eti wakifikishwa Mahakamani wanakana maelezo yao na kudai eti walilazimishwa kukiri makosa yao! Huo ni utoto!!Ngoja nikusaidie kitu manake upo gizani wala siwezi kukutukana kama wewe ulivyotukana. Madeleka ameshitakiwa Mahakamani, ameandika barua kwenda kwa DPP kuomba kukiri kosa ili alipe hizo 2m, DPP amekubali, madeleka anakiri kosa then analipa hizo pesa na anatoka nje. anakaa halafu anakuja kufungua kesi dhidi ya DPP aliyekuwa anafanya kazi kwa niaba ya Jamhuri, na anamshitaki in person, kwa kipi? wakati yeye mwenyewe alikiri kosa na kutia saini kwamba ni kweli alikosea? hapo kuna kesi kweli? tumemshauri sana lakini haelewi ila anataka kupata kiki kwa watu kama wewe. unajua kitu kinaitwa plea bargaining? au wewe ndio wale taborarasa fulani wa mtaani huko.
kama hujui hata utofauti wa Jaji na Hakimu, basi kaa pembeni uwe ndugu mtazamaji ujifunze kwa wanaojadili hapa. ni sawa na kusema hujui utofauti kati ya Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya.sawa tofaut ya judge na hakimu mi sijajua ni ipi?
lakini pia nataka kujua ugumu wa kumshataki uko wapi???
kwahiyo na wewe unasema anashitakika kwa jambo ambalo hakulichunguza yeye, yeye aliletewa tu jalada, na walipopeleka mahakamani madeleka alikiri kosa na kusaini mbele ya Mahakama? unaelewa lakini?yaani hata kama wakiifuta baadaye, ila tayari tushajua kumbe Buswalo anashitakika as a person tena mbele ya Hakimu.
Sheria siyo siasa, akajibu tuhuma zake.
Hapana japo kuna wakati usiogope kusema ukweli kwa kuamini ukisema utaonekanaje kwa jamii..Kwanini wewe uko upande wa wapotezaji?
Usimfukuze mtu JF mwenye nia nzuri ya kujifunza, ameuliza kwa nia njema akiwa amedhamiria kuijua maana, hivyo mpe jibu sahihi ili aendelee kujiona mwanachama wa JF.kama hujui hata utofauti wa Jaji na Hakimu, basi kaa pembeni uwe ndugu mtazamaji ujifunze kwa wanaojadili hapa. ni sawa na kusema hujui utofauti kati ya Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya.
Ila Madeleka wenda ndo wakina Mtikila wa sasa , mwamba anawakimbiza sana
Kupitia ukurasa wake rasmi wa X (Twitter) Peter Madeleka anaandika
HAWAKO juu ya SHERIA na wala HAWANA KINGA ya kutoshitakiwa KIJINAI. Naishukuru Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwa KUIPOKEA kesi hii kwa ADMISSION No. AD/RM/ARS/91511/2023
View attachment 2840791
Halafu utakuta na wewe ni graduate ...... Ni wonder hampati ajira. Mmebaki kuendekeza UCHAWA!!Madeleka kuna uwezekano mkubwa ana shida ya afya ya akili. msaidieni mlio karibu naye. kwahiyo anategemea kumshitaki mh Jaji mbele ya Hakimu? na kesi yake hiyo si nilisikia kwamba alikiri yeye mwenyewe kwa plea bargaining?
We fala sanaJamaa anaoenda kiki za kipuuzi sana
USSR
mama ana kosa gani, na DPP ana kosa gani, wakati mtuhumiwa (madeleka) amekiri kosa kabla ushahidi waliosema wanao haujaletwa?Yule mama anabebwa na jenda tu hawezi tumbuliwa kisa ni mwanamke lakini performance zero
Wanaomjuamama ana kosa gani, na DPP ana kosa gani, wakati mtuhumiwa (madeleka) amekiri kosa kabla ushahidi waliosema wanao haujaletwa?