Peter Madeleka awaburuta Mahakamani Jaji Biswalo Mganga na Kamishina wa uhamiaji Anna Makakala

Peter Madeleka awaburuta Mahakamani Jaji Biswalo Mganga na Kamishina wa uhamiaji Anna Makakala

Tunafungwa kama Kuku huku mafisadi na wezi wana neeemeka.
Is that what you mean mr presenter?
mnafungwa kama kuku ndio, sababu mojawapo ni kwamba mnachukua wanasheria wa mfukoni kama madeleka. hivi unafikiri wanasheria bora kama Tundu Lisu na kibatala haya mambo hawayaoni? kwanini hawakufungua kesi? kwasababu hawataki kuonekana busy bodies! Mwanasheria halisi ana qualities zake ambazo hata ukiwa Mahakamani Mahakama na wasikilizaji wataona umeleta hoja ya msingi. sasa huyu dogo hata tukimshauri huwa anatukana na hataki kushauriwa, ndio maana umaarufu wake ni wa twitter na whatsapp, ila Mahakamani anashindwa kila kesi.
 
Jamaa anaoenda kiki za kipuuzi sana

USSR
Hiki Chama kimewafanya muone wanaodai haki zào kama wapenda Kiki. Siku Makonda akimtaka mkeo muachie tu ukisema utakuwa unatafuta Kiki.
 
Huyo Biswalo ni kati ya majaji wapumbavu kuwahi kutokea hapa nchini.

Akiondolewa ujaji hata leo dunia itashangilia.

Mjinga sana huyu mtu.
 
Wewe ndiye huna akili..

Nani kakuambia kuwa mtu mwenye cheo cha ujaji hawezi kufanya makosa (crime) na kushitakiwa?

Kwa taarifa yako hata Rais kwa jina lake anaweza kusimama mbele ya hakimu wa mahakama ya Mwanzo kujibu tuhuma au mashitaka dhidi yake..!

Hapa kashitakiwa mtu anayeitwa Biswalo Mganga. Hapa hajakijashitakiwa cheo chake Cha ujaji..!!
Umejibu kama upo nchi za nje zilizoendelea . Ila. Kama upo bongo huwezi kujibu haya
 
kama hujui hata utofauti wa Jaji na Hakimu, basi kaa pembeni uwe ndugu mtazamaji ujifunze kwa wanaojadili hapa. ni sawa na kusema hujui utofauti kati ya Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya.
judge na hakimu ni kitu kimoja
tofauti ni lugha mbuzi weweeeeee
 
Mpaka siku ikipatikana Katiba Mpya itakayotoa uhuru wa watendaji wa hii mihimili kisheria, ndipo tutaanza kuona matunda ya hizi kesi zinazofunguliwa, lakini kwa sasa tunafungua kesi halafu bado tunasubiri fadhila ya mtawala kwenye maamuzi ya kesi husika.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sure. Kuna kesi ya ilifunguliwa zamani kabla ya ile ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa Kenya (kupinga ushindi wa Uhuru Kenyatta). Kesi ya Uhuru Kinyatta ilienda ndani ya wiki moja, lakini kuna kesi ambayo ilifunguliwa nyuma bado haijulikani itaisha lini. Sijui shida ni ushahidi haujapatikana au ni nini, sijui?
 
wewe na madeleka akili zenu zipo sawa tu. wala siwezi kubishana na wewe.
Na usibishane nami kabisa kwa sababu kama hii ndiyo akili yako unayotumia kufikiri na kuchambua mambo na kufanya judgement, basi uko chini ya kiwango sana. Hufai kujadiliana na mimi...!
 
Back
Top Bottom