econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Serikali aina nia ya kufungua kitu kinacho mzuia Madeleka kufungua civil case dhidi ya Gekul.
Ni ujinga kwa serikali kupoteza muda na wapumbavu ya kikundi cha sauti ya watanzania ni kikundi cha bored diaspora ujinga tupu wanaochangishana kama kanisa la Mwamposa.
Kama serikali haina Nia si imuache madeleka aendelee. Haina Nia na bado inamuingilia madeleka kwenye kusudi lake la kumshtaki Gekul. Very stupid