pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Ungekaa kimya kuficha upumbavu!Vitu vingine si vya kuingiza siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekaa kimya kuficha upumbavu!Vitu vingine si vya kuingiza siasa
Pilipili kichaa ndivyo unavyojiita humu au sio?Ungekaa kimya kuficha upumbavu!
MTU KABAKWA UNASEMA SIASA? SUBIRI ZAMU YAKO IKIFIKA KAMA UTASEMA SIASA.Vitu vingine si vya kuingiza siasa
😀 Angekuwa dada yako kafanyiwa hivyo halafu kuna watetezi wanataka kumtetea ungeandika andiko hili?Anatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Umaarufu gan anao utafuta kutetea haki ya watu ni kutaka umaarufu,kukemea waarifu ni kutaka umaarufu ivi ni nani aliye turoga tz,,Anatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Kwa hili madekeka yupo sahihiMadeleka amendika katika ukurasa wake wa x;
Nataka nimwambie Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), ikiwa ndani ya SAA 24 kuanzia sasa, ATASHINDWA kuwapeleka MAHAKAMANI hao MASHETANI, kwa KISINGIZIO CHOCHOTE KILE, mimi PETER MADELEKA, nitafanya WAJIBU huo kwa FEDHA ZANGU. Hatuwezi kuwa taifa la KULINDA WAHALIFU.
Pia soma: Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
Waliofanya ushetani huo watakamatwa kwa UTARATIBU huu;
1. Huyo Mwanamke AMTAJE huyo MUME wa AFANDE aliyetembea nae
2. Mume wa AFANDE akishajulikana, TUTAMJUA AFANDE.
3. Baada ya hapo, afande ATAWATAJA hao MASHETANI WENZAKE.
4. Halafu MASHETANI wote WAKAMATWE.
Si alifanikiwa kuwatoa au umesahauJamaa anapenda sana attention bila ufanisi. Issue ya akina dada poa imefikia wapi?
Madeleka anawajua wahusika?
Siyo attention angegidwa vile mama yko ungejisikije, acha fyokofyokoJamaa anapenda sana attention bila ufanisi. Issue ya akina dada poa imefikia wapi?
Mbona inakuuma sana hao waalifu kukamatwa au kushitakiwa ??Anatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Sasa ulitaka viishie kuzungumzwa na kina kitenge zembwelaVitu vingine si vya kuingiza siasa
Sasa unataka hili jambo liachiweAnatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Acha mtu afanye kazi ww mtAnatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Madeleka namkubali sana ila to be honest wenye nchi yao wanamchukulia kama mpinzani,na hawa jamaa katika kulinda chama chao uwa wanafanya llt,anaweza kumsaidia mhanga akiwa invisible,yule aliefanyiwa ukatili manyara serikali ilishaanza kutoa reaction kwa alieagiza ule ukatili,hadi ikafikia hatua akataka kutorokea kenya,ila alipoingia madeleka tu wenyewe wakaiua ile kesi kimya kimya tena ushahidi ulikuwepo,kikubwa hawawezi kutoa credit kwa mtu wa nje na chama chaoSasa ulitaka viishie kuzungumzwa na kina kitenge zembwela
Acha watu wapush hatua zichukuliwe mkizuba hili jambo litapita,na huku kupigana mtungo na kfln itakuwa kawaida tu
Ova
Uone mtu anabakwa? Kuwa makini hii ni dalili ya kuwa sadist.Mwenye video naomba tafadhali ...
#YNWA
Hakuna siasa hapo natamani wanasheria wote wangekuwa kama Madeleka na Mwambusi nchi ingenyookaVitu vingine si vya kuingiza siasa