Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka

Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka

Madeleka

Tusaidie na Swala lamkuu wa mkoa kufila bint wa chuo SAUTi au kulawitiwa kwake na mheshimiwa
 
Jamaa anapenda sana attention bila ufanisi. Issue ya akina dada poa imefikia wapi?
 
Madeleka amendika katika ukurasa wake wa x;

Nataka nimwambie Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), ikiwa ndani ya SAA 24 kuanzia sasa, ATASHINDWA kuwapeleka MAHAKAMANI hao MASHETANI, kwa KISINGIZIO CHOCHOTE KILE, mimi PETER MADELEKA, nitafanya WAJIBU huo kwa FEDHA ZANGU. Hatuwezi kuwa taifa la KULINDA WAHALIFU.

Pia soma: Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu

Waliofanya ushetani huo watakamatwa kwa UTARATIBU huu;

1. Huyo Mwanamke AMTAJE huyo MUME wa AFANDE aliyetembea nae
2. Mume wa AFANDE akishajulikana, TUTAMJUA AFANDE.
3. Baada ya hapo, afande ATAWATAJA hao MASHETANI WENZAKE.
4. Halafu MASHETANI wote WAKAMATWE.

Kwa hili madekeka yupo sahihi
 
Madeleka anawajua wahusika?
Screenshot_2024-08-05-14-17-46-31.png
 
Sasa ulitaka viishie kuzungumzwa na kina kitenge zembwela
Acha watu wapush hatua zichukuliwe mkizuba hili jambo litapita,na huku kupigana mtungo na kfln itakuwa kawaida tu

Ova
Madeleka namkubali sana ila to be honest wenye nchi yao wanamchukulia kama mpinzani,na hawa jamaa katika kulinda chama chao uwa wanafanya llt,anaweza kumsaidia mhanga akiwa invisible,yule aliefanyiwa ukatili manyara serikali ilishaanza kutoa reaction kwa alieagiza ule ukatili,hadi ikafikia hatua akataka kutorokea kenya,ila alipoingia madeleka tu wenyewe wakaiua ile kesi kimya kimya tena ushahidi ulikuwepo,kikubwa hawawezi kutoa credit kwa mtu wa nje na chama chao
 
Back
Top Bottom