Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaUngekaa kimya kuficha upumbavu!
Sasa wewe unataka kutuambia kuwa serikali iko radhi watu walatiwe ili tu kumkomoa Madeleka? Mbona unatetea vituko? Madeleka aliingilia baada ya kuona hakuna hatua zinazochokuliwa. Mbona unakuwa kama wewe ni mgeni Tanzania?Madeleka namkubali sana ila to be honest wenye nchi yao wanamchukulia kama mpinzani,na hawa jamaa katika kulinda chama chao uwa wanafanya llt,anaweza kumsaidia mhanga akiwa invisible,yule aliefanyiwa ukatili manyara serikali ilishaanza kutoa reaction kwa alieagiza ule ukatili,hadi ikafikia hatua akataka kutorokea kenya,ila alipoingia madeleka tu wenyewe wakaiua ile kesi kimya kimya tena ushahidi ulikuwepo,kikubwa hawawezi kutoa credit kwa mtu wa nje na chama chao
Sawa.Uone mtu anabakwa? Kuwa makini hii ni dalili ya kuwa sadist.
Basi Acha wazidi kutengeneza taifa la sodoma na gomorrahMadeleka namkubali sana ila to be honest wenye nchi yao wanamchukulia kama mpinzani,na hawa jamaa katika kulinda chama chao uwa wanafanya llt,anaweza kumsaidia mhanga akiwa invisible,yule aliefanyiwa ukatili manyara serikali ilishaanza kutoa reaction kwa alieagiza ule ukatili,hadi ikafikia hatua akataka kutorokea kenya,ila alipoingia madeleka tu wenyewe wakaiua ile kesi kimya kimya tena ushahidi ulikuwepo,kikubwa hawawezi kutoa credit kwa mtu wa nje na chama chao
Ngoja waje watakupatia, ukipewa usisambaze you are making the matter worse.Sawa.
Naomba kuona VIDEO.
#YNWA
Anatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Acha waendele kucheza komasava wakijashtka too lateNchi imeshakuwa ya hovyo hii
Yule aliefanyiwa ukatili manyara ilikuaje kwani mkuu,haki ilipotezwa sababu tu ya siasa na mpaka leo mtuhumiwa yupo bungeni,madeleka anaweza kusaidia kimya kimyaMTU KABAKWA UNASEMA SIASA? SUBIRI ZAMU YAKO IKIFIKA KAMA UTASEMA SIASA.
Sio liachiwe polisi wamesha toa tamkoSasa unataka hili jambo liachiwe
Ova
Mpaka sahv wote wale walitakiwaSio liachiwe polisi wamesha toa tamko
Ficha upumbavu wako unajifanya hao polisi unawajua peke yako au na wewe ni mmojawapo wa hao polisi? Matukio mangapi ya ajabu hao polisi walishayafanya na wanaendelea kuyafanya? au wewe sio raia wa Tanzania?Huyu jamaa ni mshamba na mnafiki sana yeye anataka kujiona Bora kuliko Dpp au Polisi yani anachukulia jambo hili kama faida kwake ,ajui kuwa polisi wetu wapi smart na awafanyi kazi kwa kukurupuka yeye ndo anajifanya ana uchungu sana
Sasa wewe unataka kutuambia kuwa serikali iko radhi watu walatiwe ili tu kumkomoa Madeleka? Mbona unatetea vituko? Madeleka aliingilia baada ya kuona hakuna hatua zinazochokuliwa. Mbona unakuwa kama wewe ni mgeni Tanzania?
Wattakuwa wamehamia porini maana kila mtu ana hasira naoNi rahisi kuwapata wahusika tena chaapu
Ikibidi afande atiwe ndani na mume wa afande amuoe huyo bintiWaliofanya ushetani huo watakamatwa kwa UTARATIBU huu;
1. Huyo Mwanamke AMTAJE huyo MUME wa AFANDE aliyetembea nae
2. Mume wa AFANDE akishajulikana, TUTAMJUA AFANDE.
3. Baada ya hapo, afande ATAWATAJA hao MASHETANI WENZAKE.
4. Halafu MASHETANI wote WAKAMATWE.
Link haisadii. Serikali ilikuwa haina nia ya kumchukulia hatua. Aliambiwa hana mashtaka ya kujibu.Mbunge Pauline Gekul atakiwa kufika Mahakamani Disemba 27, 2023 kujibu tuhuma dhidi yake
Mahakama ya Wilaya ya Babati imemtumia wito Mbunge Pauline Gekul kufika Mahakamani hapo Disemba 27, 2023 kujibu kesi inayomkabili. Mahakama hiyo imemtaka kufika pasipo kukosa. Mbunge wa Babati Mjini (CCM), Pauline Gekul ameitwa mahakamani, kujibu tuhuma za kumshambulia na kumdhuru Hashim...www.jamiiforums.com
Wapuuzi kama wewe ndo wanasababisha watu wachache wanaendelea kuumia. Madereka ni mmoja tu kati ya wale waliopaza sauti angekuwa ndugu yako amefanyiwa hivo ungefurahi? Kwa nini huyo mwanamke asingewatuma hao wahuni wenzake wakamfire huyo mmewe? Kwani huyo binti ndo alimtongoza huyo mwanaume? Kwa nini asijiulize iweze mmewe atoke nje ya ndoa yake? Hao wapuuzi wenzako hakuna namna tena lazima wafungwe.Anatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Hiyo ndo itakua rahisi Sasa maana sio asili Yao kuishi huko kwani hawajazoea watajitokeza tuuWattakuwa wamehamia porini maana kila mtu ana hasira nao
Inashangaza sana mtu kupinga jambo la Wakili au ndio wabakaji wenyewe maana tunaficha ID zetu..Sina hakika km una dada ila angekua kafanyiwa dada ako ungesema Ivo?