Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka

Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka

Madeleka namkubali sana ila to be honest wenye nchi yao wanamchukulia kama mpinzani,na hawa jamaa katika kulinda chama chao uwa wanafanya llt,anaweza kumsaidia mhanga akiwa invisible,yule aliefanyiwa ukatili manyara serikali ilishaanza kutoa reaction kwa alieagiza ule ukatili,hadi ikafikia hatua akataka kutorokea kenya,ila alipoingia madeleka tu wenyewe wakaiua ile kesi kimya kimya tena ushahidi ulikuwepo,kikubwa hawawezi kutoa credit kwa mtu wa nje na chama chao
Sasa wewe unataka kutuambia kuwa serikali iko radhi watu walatiwe ili tu kumkomoa Madeleka? Mbona unatetea vituko? Madeleka aliingilia baada ya kuona hakuna hatua zinazochokuliwa. Mbona unakuwa kama wewe ni mgeni Tanzania?
 
Madeleka namkubali sana ila to be honest wenye nchi yao wanamchukulia kama mpinzani,na hawa jamaa katika kulinda chama chao uwa wanafanya llt,anaweza kumsaidia mhanga akiwa invisible,yule aliefanyiwa ukatili manyara serikali ilishaanza kutoa reaction kwa alieagiza ule ukatili,hadi ikafikia hatua akataka kutorokea kenya,ila alipoingia madeleka tu wenyewe wakaiua ile kesi kimya kimya tena ushahidi ulikuwepo,kikubwa hawawezi kutoa credit kwa mtu wa nje na chama chao
Basi Acha wazidi kutengeneza taifa la sodoma na gomorrah

Ova
 
MTU KABAKWA UNASEMA SIASA? SUBIRI ZAMU YAKO IKIFIKA KAMA UTASEMA SIASA.
Yule aliefanyiwa ukatili manyara ilikuaje kwani mkuu,haki ilipotezwa sababu tu ya siasa na mpaka leo mtuhumiwa yupo bungeni,madeleka anaweza kusaidia kimya kimya
 
Huyu jamaa ni mshamba na mnafiki sana yeye anataka kujiona Bora kuliko Dpp au Polisi yani anachukulia jambo hili kama faida kwake ,ajui kuwa polisi wetu wapi smart na awafanyi kazi kwa kukurupuka yeye ndo anajifanya ana uchungu sana
Ficha upumbavu wako unajifanya hao polisi unawajua peke yako au na wewe ni mmojawapo wa hao polisi? Matukio mangapi ya ajabu hao polisi walishayafanya na wanaendelea kuyafanya? au wewe sio raia wa Tanzania?
 
Sasa wewe unataka kutuambia kuwa serikali iko radhi watu walatiwe ili tu kumkomoa Madeleka? Mbona unatetea vituko? Madeleka aliingilia baada ya kuona hakuna hatua zinazochokuliwa. Mbona unakuwa kama wewe ni mgeni Tanzania?
 
Waliofanya ushetani huo watakamatwa kwa UTARATIBU huu;

1. Huyo Mwanamke AMTAJE huyo MUME wa AFANDE aliyetembea nae
2. Mume wa AFANDE akishajulikana, TUTAMJUA AFANDE.
3. Baada ya hapo, afande ATAWATAJA hao MASHETANI WENZAKE.
4. Halafu MASHETANI wote WAKAMATWE.
Ikibidi afande atiwe ndani na mume wa afande amuoe huyo binti
 
Link haisadii. Serikali ilikuwa haina nia ya kumchukulia hatua. Aliambiwa hana mashtaka ya kujibu.
 
Anatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Wapuuzi kama wewe ndo wanasababisha watu wachache wanaendelea kuumia. Madereka ni mmoja tu kati ya wale waliopaza sauti angekuwa ndugu yako amefanyiwa hivo ungefurahi? Kwa nini huyo mwanamke asingewatuma hao wahuni wenzake wakamfire huyo mmewe? Kwani huyo binti ndo alimtongoza huyo mwanaume? Kwa nini asijiulize iweze mmewe atoke nje ya ndoa yake? Hao wapuuzi wenzako hakuna namna tena lazima wafungwe.
 
Back
Top Bottom