Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

 
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

View attachment 3161929
Masha'Allah
 
MWENYEZI MUNGU alimwambia shetani utakao wakuchua hao ni wako mimi wangu hutaweza kuwachukua

Ndo shetani akajiondokea zake akaenda kupigana na uzao wa yule mama yaan wote wanao mtii kristo
Kisha akajisimamia ukingoni mwa BAHARI

YESU NI MWEMA

Ufunuo 12
 
Back
Top Bottom