Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

View attachment 3161929
Mrombo ni aidha ni Mkatoliki au hana dini.

Hizo nyingine mbwembwe za maisha tu
 
Kaiona Nuru kutokea kizani.
Na wewe umemuamini?tulimuona hapa Sanchoka akatuvalia hadi majuba ila leo karudi kwa speed ya 5G hata huyo ni suala la muda tu atarudisha mpira kwa Kipa imara Jesus
 
Takbrii, anaweza kukomesha mauaji ya watoto na wanawake kule Gaza na Lebanon dhidi ya mayaudi, tumpe ushirikiano inshallah.
 
Huyu cha pombe kuna siku nimemkuta muhimbili yuko hoi hana hata pesa ya matibabu.
 
Hizi Lobes hazitapeliwi hata uwe Buddhist wa kusimamia ukucha.....

1733100932069.png
 
nadhani amevutiwa na wale mabikira 72 maana siku ya kuingia peponi pepo itakuwa inasikika miguno ya kimahaba kila kona na papapa kwa sana
 
Back
Top Bottom