Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

View attachment 3161929
jE AMEACHANA NA UTOPORO PIA?
 
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

View attachment 3161929
To bad for him, hakuna la maana, hapo, ni sawa utoke kawe ukwamani, uende Tandale, harafu useme umeondoka uswahili, umeenda sehemu yenye afadhali
 
Nadhani kwenye kuslimu yasingetajwa mambo ya dini zingine kama habari za Yesu n.k
Iwe tu kama kwenye ukristo wewe unakiri Imani unamkataa shetani na mambo yake yote unabatizwa basi.

Habari ya kuingiza mambo ya dini zingine kwamba si sahihi nadhani hapo inakua sio sawa tena ukiwa na maiki na wanahabari ni tabia isiyofaa na inayoonyesha ubaguzi na kutoheshimu dini za wengine.
 
Back
Top Bottom