Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Hawa kina bibi kishundu wako watapata nini Mkuu?Mito ya pombe na maziwa atavikuta mbinguni, bila kusahau na wale mabikra 72. Waislamu watapata raha sana pindi wakifa
jE AMEACHANA NA UTOPORO PIA?Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
To bad for him, hakuna la maana, hapo, ni sawa utoke kawe ukwamani, uende Tandale, harafu useme umeondoka uswahili, umeenda sehemu yenye afadhaliPierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
waislamu pombe ruksaPierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
kbiiiiiir!Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
Watapata mito ya pombe, maziwa na asali pamoja na bwana mmojaVipi Hawa kina bibi kishundu wako watapata nini Mkuu?
Ali shababuAllahu Akbar
Bora sisi Wazee kuna dhambi hatufanyi kama ninyi Vijana 😜"Safari ya pepo siyo rahisi kama tunavyofikiri"😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂
kwa mwanzo huu pombe atakunywa kwa kujificha ila kiti-moto ngumu sana kuacha huyo jamaaAtaacha pombe?
Babu kwenye ujana naomba nitoe nawadhulumu kina mshamba_hachekwi 😅Bora sisi Wazee kuna dhambi hatufanyi kama ninyi Vijana 😜
mchana kweupe petro kamkana Yesu mara tatu hata baki salamaPiere atabaki juu mawinguni
Takbir.Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
Piere ameacha pombe kitambo sana.Ni jambo la kheri ila kwa jinsi Pierre alivyo nachelea kuamini.