Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliacha pombe muda aliugua sana kipindi fulaniSina uhakika baada ya kusilimu huyo Peirre Liquid ataacha pombe.
Wiki tatu zilizopita nilikutana naye hapo Uhasibu Mbagala akipiga zake beer kwenye hiyo pub maarufu ya Liquid Pub.
Mola amsaidie ailinde na kuitetetea imani yake, maana safari ya Pepo siyo rahisi kama tunavyofikiri
Kaenda mpaka kwa kishki labda yuko serious 😄Hujanielewa, video nimeitazama ila namaanisha nachelea kuamini kama atabaki katika Uislam na sio maigizo ya kutaka kuongelewa.
Kama ni hivyo amefanya vizuri kuacha pombe na kumrudia Mungu wakeAliacha pombe muda aliugua sana kipindi fulani
Ova
Aliumwa sana ndy kaacha pombeKama ni hivyo amefanya vizuri kuacha pombe na kumrudia Mungu wake
Alikuwa anafakamia sana pombe enzi zake 🙌
Islam DiniSijakuelewa.
Allah akbarTakbir
Mash~Allah
Sura ya kilevi na sauti ya kilevi au unaonaje bi Faiza.Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
Ni kweli ni maarufu ndiyo maana hata comments zinatudhihirishia wengi humu wanamfahamu na ndiyo maana halisi ya kuwa maarufu(popular).Hehehe eti Pierre naye ni mtu maarufu, hakika wajinga ni mtaji wa ccm.
Hata Mimi nilihisi hivyoAliumwa sana ndy kaacha pombe
Bila kuumwa angeendelea huyo
Ova
Hahaha.....kwamba umeshaingia 4th floor?Babu kwenye ujana naomba nitoe nawadhulumu kina mshamba_hachekwi 😅
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Waalekum Salaam.
Koma, mimi siyo shangazi yako.