I hope atapunguza tu 🐒Ataacha pombe?
Masha'AllahPierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
Gambe wanapiga hata waliozaliwa huko huko. Na kwa ze kitizzzz hao jamaa ni hatari. na ndiyo maana ndani ya ule mwezi, ze kitizzz inadodaga sana huko inakopatikana.Ataacha pombe?
Nyie hiwa hamna mafundisho?Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
Tunakula nao kitimoto ndo maana tunayasema. Nyama inadodaka ndiyo maana tunasema. Tunapiga nao kilevi ndo maana tunakukumbusha.Hayo ni maneno tu , hata kwenye makawa yapo.