Peter Msechu adai kupungua kilo 7 baada kuwekewa puto Tumboni

Hahahah mwacheni Puto Msechu apungue jamani ameteseka sana.
 
Kupungua kilo 7 katika 143 bado sana. Hivi binadamu unafikishaje uzito huo? Uzembe kupindukia.
 
Si ndio mwili unajimeng'enya maana unajua hakuna virutubisho vipya, maana ukinywa tu maji umeshiba, mara hausikii njaa kabisa, wakati mwili unahitaji chakula hivyo mwili unaanza kujipunguza kutumia virutubisho vilivyopo mwilini
 
Nawaza atakuwa analinganaje akija kumaliza siku 120 ( miezi 4)? Maana kupungua kilo moja kwa siku sio mchezo
 
Na ndugu yangu alifanya hio ndani ya mwezi akaanza kuwa kama HIV stage 4 🤣🤣🤣 na alikuwa na mwili umenawiri balaa.
Sawa mkuu, najitajidi huu mwezi niweze..
 
Medical Drs kwa local content siwaamini, most likely life expectancy yake itakuwa 10-15 years just my assumption based on typical errors of of our locally trained Drs, 70% guess work and learning through fatal mistakes kwenye miili yetu, huruma na roho wa Mungu hafifu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…