Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah mwacheni Puto Msechu apungue jamani ameteseka sana.Hiyo Kasi ya upunguaji ni kubwa Sana....Dr Janabi alisema ukiwekewa puto unakuwa unakula kidogo unajisikia umeshiba ...Sasa huu ulaji mdogo ndio usababishe upunguaji uwe mkubwa ivi....watu wanaofanya mazoezi wanaelewa kitu kimoja unapoburn calories 7,700 ktk mwili wako ndio unakuwa umepungua kg 1...na hiyo kg 1 ni sawa na ukimbie marathon 3 Kwa siku yaani km 128...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dah acha tu mkuuAcha kitimoto sasa ila kufika kilo 100 ni msala,
Kupungua kilo 7 katika 143 bado sana. Hivi binadamu unafikishaje uzito huo? Uzembe kupindukia.Msanii Peter Msechu amefanikiwa kupunguza uzito wa kilo saba ndani ya siku saba tangu alipowekewa puto na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila ili kumsaidia kupunguza uzito.
Msechu aliwekewa puto hilo Januari 25, 2023 akiwa na uzito wa kilo 143.4 lakini kufikia leo Februari Mosi 2023, ana uzito wa kilo 136.5, wastani wa punguzo la uzito la kilo moja kila siku.
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa leo kwenye ukurasa wa Instagram wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila, imethibitisha kwamba msanii huyo wa Bongo Flava amepunguza uzito huo ndani ya muda mfupi.
“Msanii Peter Msechu amepungua kilo saba, toka afanyiwe huduma tiba ya kuwekewa puto (intragastric balloon) kwenye tumbo la chakula ili kumsaidia kupungua. Huduma hiyo alifanyiwa Januari 25, 2023, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila,” inaeleza taarifa hiyo.
Msechu pia ameandika katika ukurasa wake wa Instagram kuonyesha kwamba amepunguza uzito huo huku wakiwashukuru madaktari wa Hospitali ya Muhimbili Mloganzila kwa kufanikisha azma yake ndani ya muda mfupi.
“Eeeh Mwenyezi Mungu sijui nikushukuru vipi, niliwekewa puto Januari 25, 2023, picha hiyo nilipiga asubuhi wakati naenda hospitali asubuhi. Leo ni siku ya saba baada ya kumeza puto Februari Mosi, 2023 nimepiga picha hiyo muda ule ule wa asubuhi kama wakati naenda hospitali. Nimepunguza kilo saba kwa siku saba, ina maana kila siku kilo moja inazikwa. Muhimbili hii mmetishaa.
MWANANCHI
“Kipekee kabisa asanteni sana wataalamu wote na madakatari kutoka Hospital ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila, haki ya nani mmebadilisha maisha yangu tayari ndani ya wiki moja tu. Mkurugenzi Mkuu wa Muhimbili Profesa Janabi kongole sana,” ameandika Msechu.
Ikane nafsi uanze kula majani kama mbuzi, ndani ya mwezi tu majani na matunda. Nyama ya kuchemsha isio na mafuta au samaki. Unapungua fasta mno.Dah acha tu mkuu
Kila la kheri wee ht upungue kilo zote ilmradi sie tule ndizi utumbo tu!Ngoja nizichange na mie nikameze Maputo mawili
Umenitia moyo. Nitakupa feedback😀Ikane nafsi uanze kula majani kama mbuzi, ndani ya mwezi tu majani na matunda. Nyama ya kuchemsha isio na mafuta au samaki. Unapungua fasta mno.
Ndizi utumbo imezidi kuwa tight maana imebanwa na nyama nyamaKila la kheri wee ht upungue kilo zote ilmradi sie tule ndizi utumbo tu!
Na ndugu yangu alifanya hio ndani ya mwezi akaanza kuwa kama HIV stage 4 🤣🤣🤣 na alikuwa na mwili umenawiri balaa.Umenitia moyo. Nitakupa feedback😀
Si ndio mwili unajimeng'enya maana unajua hakuna virutubisho vipya, maana ukinywa tu maji umeshiba, mara hausikii njaa kabisa, wakati mwili unahitaji chakula hivyo mwili unaanza kujipunguza kutumia virutubisho vilivyopo mwiliniHiyo Kasi ya upunguaji ni kubwa Sana....Dr Janabi alisema ukiwekewa puto unakuwa unakula kidogo unajisikia umeshiba ...Sasa huu ulaji mdogo ndio usababishe upunguaji uwe mkubwa ivi....watu wanaofanya mazoezi wanaelewa kitu kimoja unapoburn calories 7,700 ktk mwili wako ndio unakuwa umepungua kg 1...na hiyo kg 1 ni sawa na ukimbie marathon 3 Kwa siku yaani km 128...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nahisi promo inafanywa hapa,eti baada ya kumeza puto,kumbe huwa linamezwa?Huenda pia anawatangazia biashara.
Nani alikwambia hospitali za umma zinafanya biashara!!???Huenda pia anawatangazia biashara.
Sawa mkuu, najitajidi huu mwezi niweze..Na ndugu yangu alifanya hio ndani ya mwezi akaanza kuwa kama HIV stage 4 🤣🤣🤣 na alikuwa na mwili umenawiri balaa.
Letuce, nyanya, karoti, culiflower, mchicha, michemsho. Utakuja kunishukuru.Sawa mkuu, najitajidi huu mwezi niweze..
Umekuwa chibonge utaweza kweli mbuzi kagoma kwenda au popo kanyea mbingu, au twende kwa mshihiri!!?Yaani najihisi naongezeka kilo moja kila siku. Hii February hadi iishe nahisi nitakuwa nimefika 120.
Business kwa hospitali ya umma!!??MATANGAZO YA BIZINESI
ova