Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,072
- 7,891
Samahani Dokta mbona huku mtaani wanasema linaingizwa kwa njia ya haja kubwa?Hilo puto linaingizwa likiwa tupu kupitia njia ya chakula linapelekwa Hadi tumbo la chakula, likifika huko linajazwa upepo, kwa hiyo kasehemu ka chakula kanabaki kadogo, sehemu kubwa unakuwa umechukuliwa na Hilo puto. Kwa hivyo mhusika anakuwa akila tu kiduchu anajiona kavimbiwa. So automatically mtu atapungua.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app