Peter Msechu afanyiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni

Peter Msechu afanyiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni

Mkuu kilo 90 kivipi?
Mimi na weigh 87 to 90 net lakini ni mwepesi tu na joging nawapeleka moto watoto wadogo

Au maumbo ya mwili yanatofautiana
Sio Kila Mtu anafaa kuwekewa Puto. Puto inategemea na BMI. Madaktari Tanzania Ndio Maana Wanaua Wagonjwa. Mtu wa Kg 144 unamuwekeaje Puto? Akipungua Sana Kg 20/16. Hii Publicity itakuja Kumcost…. Uzuri Jamii Forum Ipo.

Tukutane Mwakani Tarehe kama Ya Leo.

PM alifaa kufanyiwa Bariatric Surgery. Ambapo angebaki na Kg 72 which Ni Sawa kwake.

Nashangaa Serikali Kuacha Kuendelea kuenea kwa Matangazo ya Balloon wakati madhara yake ni Makubwa. Ballon Inafaa kwa Mtu chini ya Kg 90 sio zaidi ya 100

Mwisho. Kupungua unahitaji ku change life style Completely. Hata Kufanyiwa Bariatric Surgery, Kifupi ni Kumaanisha Unabadirisha Mfumo wa Maisha kuanzia kuacha pombe, namna ya kula na kila kitu ndio maana Psychologist huhusika, Psychiatrics huhusika, Dietician huhusika, Daktari wa Mazoezi, Endocrinologist, General Surgeon na Wengine.

Fuatilia Duniani, Madaktari nguli wamekataa matumizi ya Balloon.
 
Kuna unene wa asili hua ni genetic disorder ila 95% ya mabonge ni kupenda kula.

Jamaa alikua anaitwa kwenye redio anajisifia kupenda kula wali maharage na anaona sifa eti anamaliza sahani 2 ama 3 za wali maharage.

Sasa hivi hatakiwi kulalamika, akubaliane na hali. Mke tutamsaidia kumtomba. Tutamzalia watoto atulelee. Anafikiri misosi ina masihara [emoji23]
Sasa sahani 2 tu ndio mnamsimanga?
 
Hahahaaa, hio nishawahi mshuhudia boss wangu anamcheka jamaa mmoja tulikutana naye sehemu mnene sana bahati mbaya ni mfupi!
Jamaa alicheka sana, wakati hata sie huwa tunamahangaa tumbo lilivyozidi [emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utaumwa njaa tuu, tumbo halielewi, Tena ukiwa mnene ndo njaa inakuwa nyingi kuliko ukiwa mwembamba.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Jana TU asbh saa 4 nilimtembelea rafk yangu bonge flani ofsn kwake, tulkua na kikao flani.

nilishangaa jamaa anapiga chapati 4 na maziwa nusu Lita. Kapiga yote mpk kamaliza.

Mi nilikunywa kikombe robo na chapat moja nikatosheka

Saa 7 tu analalamika njaa inauma,
Kapiga Simu nyumbn anafoka wawaishe ugali,Wakati Mimi bado nahs nmeshiba[emoji1787]
 
Jana TU asbh saa 4 nilimtembelea rafk yangu bonge flani ofsn kwake, tulkua na kikao flani.

nilishangaa jamaa anapiga chapati 4 na maziwa nusu Lita. Kapiga yote mpk kamaliza.

Mi nilikunywa kikombe robo na chapat moja nikatosheka

Saa 7 tu analalamika njaa inauma,
Kapiga Simu nyumbn anafoka wawaishe ugali,Wakati Mimi bado nahs nmeshiba[emoji1787]

Utumbo wake ushapanuka huyo kajizoesha kula sanaa
 
Kuna unene wa asili hua ni genetic disorder ila 95% ya mabonge ni kupenda kula.

Jamaa alikua anaitwa kwenye redio anajisifia kupenda kula wali maharage na anaona sifa eti anamaliza sahani 2 ama 3 za wali maharage.

Sasa hivi hatakiwi kulalamika, akubaliane na hali. Mke tutamsaidia kumtomba. Tutamzalia watoto atulelee. Anafikiri misosi ina masihara 😂
And That's Evil too 😂😂😂
 
Ule unene ni wa kulakula ovyo sijuwi au limeridhika
Aende jkt akakae mwaka mmoja huko apelekeshwe mpelampela atanyooka

Ova

JKT wanavyopenda kucheza na vibonge, wakimkomalia ndani ya miezi miwili tu ataona mabadiliko 😁
 
Kuna hili lenzake hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20230130-073213_Instagram.jpg
    Screenshot_20230130-073213_Instagram.jpg
    55.2 KB · Views: 8
Back
Top Bottom