Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Unene mwngne ni kujitakia, kuna kipindi alikua anaendekeza uo mtumbo wake sasa maji yameshazid unga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akiwa anaanza mziki huwa anabidii kubwa sanaUnamaana gani ?
Sio Kila Mtu anafaa kuwekewa Puto. Puto inategemea na BMI. Madaktari Tanzania Ndio Maana Wanaua Wagonjwa. Mtu wa Kg 144 unamuwekeaje Puto? Akipungua Sana Kg 20/16. Hii Publicity itakuja Kumcost…. Uzuri Jamii Forum Ipo.
Tukutane Mwakani Tarehe kama Ya Leo.
PM alifaa kufanyiwa Bariatric Surgery. Ambapo angebaki na Kg 72 which Ni Sawa kwake.
Nashangaa Serikali Kuacha Kuendelea kuenea kwa Matangazo ya Balloon wakati madhara yake ni Makubwa. Ballon Inafaa kwa Mtu chini ya Kg 90 sio zaidi ya 100
Mwisho. Kupungua unahitaji ku change life style Completely. Hata Kufanyiwa Bariatric Surgery, Kifupi ni Kumaanisha Unabadirisha Mfumo wa Maisha kuanzia kuacha pombe, namna ya kula na kila kitu ndio maana Psychologist huhusika, Psychiatrics huhusika, Dietician huhusika, Daktari wa Mazoezi, Endocrinologist, General Surgeon na Wengine.
Fuatilia Duniani, Madaktari nguli wamekataa matumizi ya Balloon.
Sasa sahani 2 tu ndio mnamsimanga?Kuna unene wa asili hua ni genetic disorder ila 95% ya mabonge ni kupenda kula.
Jamaa alikua anaitwa kwenye redio anajisifia kupenda kula wali maharage na anaona sifa eti anamaliza sahani 2 ama 3 za wali maharage.
Sasa hivi hatakiwi kulalamika, akubaliane na hali. Mke tutamsaidia kumtomba. Tutamzalia watoto atulelee. Anafikiri misosi ina masihara [emoji23]
Wengine kuelewa falsafa ya maneno kwao ni mzigo, hasa wa Uto.Hajamaanisha kwamba akila hashibi hapana alimaanisha yaani anakula kidogo tu ili apungue lakini pia haimsaidii hiyo formula.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
kishasema hotelini huwa anavunja chaga anaomba radhi reception, unahisi ni kwa kulala mwenyewe tu chaga chali au unataka hadi video!
Hahahaaa, hio nishawahi mshuhudia boss wangu anamcheka jamaa mmoja tulikutana naye sehemu mnene sana bahati mbaya ni mfupi!
Jamaa alicheka sana, wakati hata sie huwa tunamahangaa tumbo lilivyozidi [emoji1][emoji1][emoji1]
Mi mwnyw nmeshangaaKumbe siri ya kupungua ni kula kidogo...hivi huwez kujicontrol mwenyewe bila hilo puto?
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Jana TU asbh saa 4 nilimtembelea rafk yangu bonge flani ofsn kwake, tulkua na kikao flani.Utaumwa njaa tuu, tumbo halielewi, Tena ukiwa mnene ndo njaa inakuwa nyingi kuliko ukiwa mwembamba.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Jana TU asbh saa 4 nilimtembelea rafk yangu bonge flani ofsn kwake, tulkua na kikao flani.
nilishangaa jamaa anapiga chapati 4 na maziwa nusu Lita. Kapiga yote mpk kamaliza.
Mi nilikunywa kikombe robo na chapat moja nikatosheka
Saa 7 tu analalamika njaa inauma,
Kapiga Simu nyumbn anafoka wawaishe ugali,Wakati Mimi bado nahs nmeshiba[emoji1787]
And That's Evil too 😂😂😂Kuna unene wa asili hua ni genetic disorder ila 95% ya mabonge ni kupenda kula.
Jamaa alikua anaitwa kwenye redio anajisifia kupenda kula wali maharage na anaona sifa eti anamaliza sahani 2 ama 3 za wali maharage.
Sasa hivi hatakiwi kulalamika, akubaliane na hali. Mke tutamsaidia kumtomba. Tutamzalia watoto atulelee. Anafikiri misosi ina masihara 😂
Bila picha hii comment ni batili.......🌝😄😃😀Hasara ya kwanza nayochukia ni kukosa nguo nzuri, na kupata nguo kwa shida sana
Ule unene ni wa kulakula ovyo sijuwi au limeridhika
Aende jkt akakae mwaka mmoja huko apelekeshwe mpelampela atanyooka
Ova
Kwenye nyaHilo puto wameliingiizia wapi?
Sababu nyingine zote ni porojo tu.