The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Kuna unene wa asili hua ni genetic disorder ila 95% ya mabonge ni kupenda kula.Mkuu huyu jamaa mimi nimesoma nae Advance Tanga alikuwa na mwili wa kawaida kabisa sifa yake kuu alipenda kula. Yani siku ya wali alikuwa na anakuja na kisado kile cha kopo la rangi.
Nashangaa sahivi kapata reward za kupenda kula analalamika tena😂.
Tusijidanganye wanene wa asili ni wachache sana wengi wanakuwa vibonge kwa kupenda kula sana.
Jamaa alikua anaitwa kwenye redio anajisifia kupenda kula wali maharage na anaona sifa eti anamaliza sahani 2 ama 3 za wali maharage.
Sasa hivi hatakiwi kulalamika, akubaliane na hali. Mke tutamsaidia kumtomba. Tutamzalia watoto atulelee. Anafikiri misosi ina masihara 😂