Peter Msechu afanyiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni

Samahani Dokta mbona huku mtaani wanasema linaingizwa kwa njia ya haja kubwa?
 
Yeye anataka umwambie linapitia makalioni.
 
Hilo PUTO linaingizwaje tumboni...?
 
Watu wengi wanene ukifuatilia wanapenda sana kula...
 
Na hyo procedure ya maputo ni sh ngapi?? Maana kuna shoga angu juzi nikamwambia hongera naona karibia unajifungua sijaonana nae kitambo kidogo amenuna mpk leo...nikajaambiwa ni tumbo lake
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…