Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Sio kwa mtindo wa kumuita mwanaume mwenzio 'babu' maana hapa napata picha ingekuwa wanajibizana ana kwa ana na vidole pia vingekuwa juu ama mikono kiunoni kama watoto wa kike. Huu si uzenji tena bali walakini wa kijinsia.
Angefanya hivi [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
 
hivi huyu kaka anaeitwa AT
sio wale wanaotafutwa na makonda
 
Dab mwanaume rijali kabisa hawezi andika maneno kama hayo. #justsaying imagine ni joh makini. This thingie mngesema amemchana live sio kumchana. Btw it's zanzibar we are talking about
 
Wana nyimbo wamefanya pamoja inaitwa msengenyo!!! ipo mkito sasa walikuwa wanatafuta kiki!!!
 
Mmmmh uyo jamaa sio wa kuingia ovyo......anaweza akakutukana hadharani ukaaibika nguo zikakuvuka....
 
Aya wambea wote mmeumbuka...acheni msengenyoooooooo....nendeni mkasikilze track yao mpya msengenyo
 
Back
Top Bottom