Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Hii ya "pyuuuuuuu" ndiyo imenistaajabisha sana...imenifanya niwaze vingi kuhusu mhusika aliyetumia maneno hayo!!!
 
Hold on! Haya maneno yameandikwa na mtoto wa kiume!?

Me mwenywe nimeshangaa kwelikweli...yani kama ni mtoto wakiume ni wale wanaotaka haki sawa aiseeee.maana nasikia wale bwana wakichamba mku ni mpaka wahahakikishe huyo mtu katapika.
 
dizain kama new song on making. msipanik sna. kumbuken ya vee money na shishi.
 
Aisee ....hayo maneno ya mipasho kinda like namuona anavyo mbania pua kipindi anampa kiki zake
 
AT.jpg


AT hiyo kozi ya kuchamba inaanza lini?....Nataka nije kufuzu mie....😀😀
 
Anawaaibisha wanaume wa Zenji apewe adhabu kali iwe fundisho kwa wengine tabia za upande wa 2 hizi alaaaa
 
Back
Top Bottom