Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Aisee mi nilijua alieandika mchambo ni mwanamke kumbe mwanaume???[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sifa ya mwanaume kunyamaza, na mwanaume mstaaarabu akikutana na mtu kidomo domo ananywea anaacha yanapita. Ila sasa hapa duu...job true true(kazi kweli kweli....)
 
“Mvuto Sifuri Bikaka @peter_msechu Nene km Lori Hivi kuongelea wembamba wangu unalipwa sitaki shobo km lakufanya huna jikate minyama yako ujichome mishkaki usi nitekenye mdomo ukataka niongee,” ameandika AT kwenye Instagram.

“Tumbo Tumbo km Umeficha Kobe wewe nipotezee usilazimishe mimi niwe karibu na wewe sina shida ya kukuazima tumbo nende nalo harusini Mifulana km Turubali za Msimbani Babu kaa mbali na mimi kwani hivi na wewe ni msanii wanchi hii au Muuza kufia za Oliva Mtukuzi?”

“Pyuuuuuuuuuuuuu ukiona nipo kimya ujue sihitaji varangati na mtu kiki zime adimika huna utakapopatia usinione Mwembamba ingia 18 uhadithie wenzio Mr Machupi ya kushonesha.”

View attachment 382262
Huyo AT kama ni mwanaume basi anatia shaka sana.
 
Ushawahi sikiliza nyimbo zake na unajua aina ya muziki anaoimba,yeye kuwa na maneno ya shombo ni sawa na. Kondakta kuwa na chenchi si jambo la kushangaza.Kuna kipindi offside trick walitoa nyimbo wakamshirikisha na baby jay ya kumdiss jumla kama watu wa nne hivi.yeye akawajibu peke yake wakafyata mkia wote
Haha inaitwa vifuu tundu, alimshirikisha Mwanne
 
Duh wanaume wa kweli wanazidi kupungua siku hadi siku, binafsi siwezi hata kujibizana na Girl wangu akiniudhi ni action tu, sina muda wa kujibizana na mtu hata awe Nani
 
AT ndiyo nani jamani? (au kirefu cha hiyo AT ni nini? Mimi mgeni maeneo haya.
Hiyo AT ina historia mchanganyiko. Huyu mshikaji tumeishi naye Buguruni. Na kutokana na urefu wake tukawa tunamuita Ali tall, Ali tall. Wakati anatoka akaona sio issue acha ajiite Ali tall ila yeye akafupisha na kuitwa AT. Badae akawa mjanja mjanja akaona Ali tall hailipi basi hiyo AT akaiita Amazing Talent.

Bila shaka nimekujibu vyema.
 
Hiyo AT ina historia mchanganyiko. Huyu mshikaji tumeishi naye Buguruni. Na kutokana na urefu wake tukawa tunamuita Ali tall, Ali tall. Wakati anatoka akaona sio issue acha ajiite Ali tall ila yeye akafupisha na kuitwa AT. Badae akawa mjanja mjanja akaona Ali tall hailipi basi hiyo AT akaiita Amazing Talent.

Bila shaka nimekujibu vyema.
Asante, nilikuwa sijui na mimi
 
Hold on! Haya maneno yameandikwa na mtoto wa kiume!?
Hata mimi nilikuwa najiuliza haya maneno yameandikwa namwanaume rijali au ndio wale kina kaoge. Dah nina mashaka kidogo na huo uanaume wake eti babu unikome..............
 
Hiyo AT ina historia mchanganyiko. Huyu mshikaji tumeishi naye Buguruni. Na kutokana na urefu wake tukawa tunamuita Ali tall, Ali tall. Wakati anatoka akaona sio issue acha ajiite Ali tall ila yeye akafupisha na kuitwa AT. Badae akawa mjanja mjanja akaona Ali tall hailipi basi hiyo AT akaiita Amazing Talent.

Bila shaka nimekujibu vyema.
Asante sana. Nimeelewa sawia.
 
ila jamaa Ana stail yake ya kuvaa ni mbunifu ila hilo jungu jamaa alilo mpiga Linachekesha kweli

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom