Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

nyinyi acheni kabisa...hayo ndo ya pwani....si mwanaume wala mwanamke wala mtoto..woote!watu wa zanzbar,tanga,pwani,mpkmombasa huko ndo walivyo..hasa akiwa shabiki wa taarab utajuta.
Tuombe radhi wanaume wa Tanga[emoji16]
 
Hivi alishamlipa yule mganga alijitokeza kwenye media akidai ndiye anayemtengeneza ili ngoma zake zihit?
 
Hapo pa muuza kofia nimejikuta nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Huyu binadamu hta simwelewagi
Mwanamme gani ana maneno km wanawake?
 
Hivi zile rap battles za akina Nas na Jay Z au Biggie na Tupac zina tofauti gani na kuchambana?

Au kwa vile zile ziko kwa Kiingereza?

Rap ni arts na ni njia ya kuingiza pesa
I am sure Jay z hawezi kumchamba mtu kwenye page ya Instagram....
but then again...i could be wrong....
 
Rap ni arts na ni njia ya kuingiza pesa
I am sure Jay z hawezi kumchamba mtu kwenye page ya Instagram....
but then again...i could be wrong....
Hahaaa....basi itakuwa hufuatilii vizuri yajiriyo kwenye social media Marekani.

Licha ya medium itumikayo, kuchamba ni kuchamba tu....rap disses nazo ni uchambaji tu.

Lakini kwa ulimbukeni tulionao Wabongo....hizo rap disses tunaweza kuzipa pass lakini mambo yetu ya Kiswahili tukayakomalia koo.

Ndivyo tulivyo.
 

Wanaume wa zanzibar...!!!
 
Kwani Kofia za Oliver Mutukudzi zikoje?
 
mbona AT ana maneno ya shombo utadhani anaishi Tandale
Hayo maneno ni ya mwanaume rijali kweli?Sitaki kuamini mwanaume unaanzaje kuandika maneno ya kikekike kwa mwanaume mwenzio.Mh!kama kaandika yeye kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…