Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,455
Sio kwa mtindo wa kumuita mwanaume mwenzio 'babu' maana hapa napata picha ingekuwa wanajibizana ana kwa ana na vidole pia vingekuwa juu ama mikono kiunoni kama watoto wa kike. Huu si uzenji tena bali walakini wa kijinsia.
usisahau na kiuno kutikisika