Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Inasemekana baada ya John Komba, Msechu ndio kama karithishwa mikoba .
Je Atapewa nafasi ya kutoa wimbo kwa ajili ya Mzee Mwinyi?
Ngoja tusubiri .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukuwepo kwenye msiba wa Maalim Seif?Sina hakika, hivi tutatumia jeneza au itakuwajee?. Hili nahitaji sana kuona litashughulikiwa vipi.
na ndio maana Mazishi yao ni ndani ya masaa 24Kwa Waislamu Mazishi ni Ibada siyo Siasa 🐼
Sijui hata Mkuu kilitumika kipi.Hukuwepo kwenye msiba wa Maalim Seif?
Kuna Waislam na kuna Waislam wa ccmWaislamu kwenye mazishi hawanaga ujinga ujinga.
Kina nani wana ujinga ujinga?????binadamu bwana hivi hàmjui hata mtu akifa inabidi kusheherekea kama sherehe nyingine za kuzaliwa na kuoa au kuolewa.Waislamu kwenye mazishi hawanaga ujinga ujinga.
echu kuimba msibani nayo inakusumbua?View attachment 2920679
Inasemekana baada ya John Komba, Msechu ndio kama karithishwa mikoba .
Je Atapewa nafasi ya kutoa wimbo kwa ajili ya Mzee Mwinyi?
Ngoja tusubiri .
Sasa Ms
echu kuimba msibani nayo inakusumbua?
Mwimbaji hula kwa mdomo wake acha hizo
Kwani anaweza kuimba kaswida? Nimeulizatu wakuu tupo msibani nisishambuliweView attachment 2920679
Inasemekana baada ya John Komba, Msechu ndio kama karithishwa mikoba .
Je Atapewa nafasi ya kutoa wimbo kwa ajili ya Mzee Mwinyi?
Ngoja tusubiri .
Usanii tu kila kitu ibada.Yaani kirahisi rahisi tu!Kwa Waislamu Mazishi ni Ibada siyo Siasa [emoji209]
Hapo mkuu ni mwili kwa mavumbi. Hainaga mbambambaSina hakika, hivi tutatumia jeneza au itakuwajee?. Hili nahitaji sana kuona litashughulikiwa vipi.
Vipi wakwake ashajitungia au bado?Msechu ameshatunga wimbo mpk wa rais wa awamu ya 10. Chezea Msechu wewe!