cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Niko paleee niiite wuuuh!!!! Wuuuuh!!!Kwani anaweza kuimba kaswida? Nimeulizatu wakuu tupo msibani nisishambuliwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko paleee niiite wuuuh!!!! Wuuuuh!!!Kwani anaweza kuimba kaswida? Nimeulizatu wakuu tupo msibani nisishambuliwe
Sina hakika, hivi tutatumia jeneza au itakuwajee?. Hili nahitaji sana kuona litashughulikiwa vipi.
Kwa nini huwa anavaa liforonya? Haya matumbo jamani!View attachment 2920679
Inasemekana baada ya John Komba, Msechu ndio kama karithishwa mikoba .
Je Atapewa nafasi ya kutoa wimbo kwa ajili ya Mzee Mwinyi?
Ngoja tusubiri .
Hahaha yani CCM imewaharibu watu nchi hii, waoa wanadhani WASANII ni Mali yao? T.O.T wanaweza kuelekezwa hivyo sasa hata 20% naye atakubali kweli au wanawalipa wao?
Takataka Wewe Dini ya mweupe imekuharibu,, unawaza Dini tuuu.Kwa Waislamu Mazishi ni Ibada siyo Siasa 🐼
Mwambie,, Mnadanganyana tuuu.. Yaaani Mungu anachukuliwa powa kiasi hichoUsanii tu kila kitu ibada.Yaani kirahisi rahisi tu!
Kina nani wana ujinga ujinga?????binadamu bwana hivi hàmjui hata mtu akifa inabidi kusheherekea kama sherehe nyingine za kuzaliwa na kuoa au kuolewa.
Unaposema ujinga ujinga unamanish.. Dini imemharibu Huyo!!!
Waislamu hakuna jenezaSina hakika, hivi tutatumia jeneza au itakuwajee?. Hili nahitaji sana kuona litashughulikiwa vipi.
Ktk uislam hakuna nyimbo ktk msiba. Unamuimbia ili iwe nini? Ipo ktk katiba? Yeye wakati wa uhai wake akiimba kwaya au akisoma Quran?View attachment 2920679
Inasemekana baada ya John Komba, Msechu ndio kama karithishwa mikoba .
Je Atapewa nafasi ya kutoa wimbo kwa ajili ya Mzee Mwinyi?
Ngoja tusubiri .
Atafika? Acheni kuwapa watu sifa. Binaadam sawa na ubua wakati wowote unaangukaMsechu ameshatunga wimbo mpk wa rais wa awamu ya 10. Chezea Msechu wewe!
Atoe mara ya ngapi?View attachment 2920679
Inasemekana baada ya John Komba, Msechu ndio kama karithishwa mikoba .
Je Atapewa nafasi ya kutoa wimbo kwa ajili ya Mzee Mwinyi?
Ngoja tusubiri .
Kwa viongozi wa kitaifa haiwezi tokea ndani ya masaa 24,mzee Mwinyi kafariki tarehe 29 february kuzikwa tarehe 2 march, ata kwa maarim seif,Dr.omary ally juma,masa 24 ni kwenu nyie kajamba nani😃😃😃na ndio maana Mazishi yao ni ndani ya masaa 24
Kwa ccm kila kitu kinawezekanaKwa Waislamu Mazishi ni Ibada siyo Siasa [emoji209]
Huo ni mtazamo wako wa kinyumbuKuna Waislam na kuna Waislam wa ccm