Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna Waislam na kuna Waislam wa ccm
Hujui hata kuhesabu masaa?na ndio maana Mazishi yao ni ndani ya masaa 24
Sipati picha anapo bambwa buriani samiaaaaa... buriani mamaa weweeeee ... buriani ulale weweeeee ulitutoa matongotongo.... lucas mwashambwa anakulilia mamaaa weweeeeMsechu ameshatunga wimbo mpk wa rais wa awamu ya 10. Chezea Msechu wewe!
Nimeshangaa Ama Mloganzira Ni UjanjaMsanii wa puto mbona hajapungua
Aulizwe JanabiNimeshangaa Ama Mloganzira Ni Ujanja
Itakua hawajamuondolea puto.Nimeshangaa Ama Mloganzira Ni Ujanja
Mazishi kwenye Uislamu ni ibada hivyo hufuata taratibu za kidini, hizo mbwembwe za sherehe unaanzaje?Kina nani wana ujinga ujinga?????binadamu bwana hivi hàmjui hata mtu akifa inabidi kusheherekea kama sherehe nyingine za kuzaliwa na kuoa au kuolewa.
Unaposema ujinga ujinga unamanisha nini?????
Mbona una mswalia mtu mfu?Ktk uislam hakuna nyimbo ktk msiba. Unamuimbia ili iwe nini? Ipo ktk katiba? Yeye wakati wa uhai wake akiimba kwaya au akisoma Quran?
Mambo ya manasara na mayahudi waislam wamekatazwa kuyafata
Ibada wakati roho haipo ?Kwanini hamkumswalia akiwa hai hospital?Mazishi kwenye Uislamu ni ibada hivyo hufuata taratibu za kidini, hizo mbwembwe za sherehe unaanzaje?
Chap tuu.na ndio maana Mazishi yao ni ndani ya masaa 24
Unasheherekea nn??inamsaidia nn marehemu na huko aendakoKina nani wana ujinga ujinga?????binadamu bwana hivi hàmjui hata mtu akifa inabidi kusheherekea kama sherehe nyingine za kuzaliwa na kuoa au kuolewa.
Unaposema ujinga ujinga unamanisha nini?????
Kumswalia ni kumuombeaMbona una mswalia mtu mfu?
Hata kwenye Ukristo mazishi ni ibadaMazishi kwenye Uislamu ni ibada hivyo hufuata taratibu za kidini, hizo mbwembwe za sherehe unaanzaje?
Christopher Msechu (mrithi wa Komba)Christopher Wallace(Notorios B.I.G) ,Christopher Lios(Big Punisher).
Tutosheherekea inasaidia nini?????Unasheherekea nn??inamsaidia nn marehemu na huko aendako