Peter Msigwa asema hali ni mbaya katika Hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru zinahitajika

Peter Msigwa asema hali ni mbaya katika Hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru zinahitajika

Shida ya watanzania kama ilivyo wanasiasa wengi Wana "subsistence thinking" wanaangalia hapa tu, leo, hatujui kwamba watakuwepo watanzania kama sisi in the next 100 years, ambapo most of us if not all hatutakuwepo.

Na kibaya zaidi uwezo wetu waku analyze mambo ni kama urefu wa pua. Kwa waliopata angalau D ya hesabu na kuendelea, kama ulipata "F" achana na hili swali, in 1960s wamasai walikuwa elfu 8 Leo 2022 wako estimated kuwa laki na nusu na mifugo laki 2, mathematically compute na fanya projection ya miaka 30 ijayo watakuwa wangapi na mifugo mingapi, thus you can be able think objectively and unbiased uharibifu wa hiyo mbuga utakavyokuwa.

Shida ya mtu mweusi unlike hao wazungu, ni ubinafsi ndio maana tunapata gas "tunauza" kwa kwa mikataba ya kipumbafu, tuna bwawa la Nyerere unasikia kuna wanasiasa wana team up kuhujumu Yani ni kama tuna laana vile, only an average IQ itaelewa bila hatua kuchukuwa Leo na Sasa hiyo mbuga haitakuwa mbuga in the next 30 years, and it only takes a "D" in mathematics to understand that.
yaani hiyo hesabu ...ndio unakuja kutamba na D YA HESABU HAPA!
 
yaani hiyo hesabu ...ndio unakuja kutamba na D YA HESABU HAPA!
Hauwezi nielewa ndio maana hauwezi fanya mathematical projection, nilisema angalau uwe na D and it seems hata hiyo hukupata otherwise ungenielewa...am sorry!!
 
Y6
Hauwezi nielewa ndio maana hauwezi fanya mathematical projection, nilisema angalau uwe na D and it seems hata hiyo hukupata otherwise ungenielewa...am sorry!!
Ndicho nacho shangaa ...yaani kufanya projection ya aina hio ndio unatusi watu hapa!
 
Kwahiyo Msigwa akisema ndio inakuwaje kwani??
 
CCM bhana... Yani hao wamasai wanawashinda hapo!!!??
 
Nimesema mara nyingi humu narudia tena kunusuru Ngorongoro binadamu wote wanatakiwa wawe nje ya crater sio wamasai tu la hasha mifugo yao, wafanyakazi wa NCAA, wafanyakazi wa mahoteli na lodges, na watalii wote hawa wakae nje ya crater. Hoteli na lodges zijengwe karatu na Oldeani watalii wakae huko ila asubuhi waingie crater na kutalii, jioni warudi kulala hotelini karatu. Kadhalika wafanyakazi wa NCAA, wamasai na mifugo yao wote wahamishwe. Hapo hakuna siasa wala kura za 2025 nimemsikia waziri mkuu anababaika tu. Nimeshuhudia mwenyewe with naked eyes machinga wa kimasai wanauza asali na shanga, mifugo mingi tu ikizurura na nyumba za makazi kibao. Nawaomba jamani chonde chonde tuwatoe binadamu na mifugo ndani ya crater.
 
Nimesema mara nyingi humu narudia tena kunusuru Ngorongoro binadamu wote wanatakiwa wawe nje ya crater sio wamasai tu la hasha mifugo yao, wafanyakazi wa NCAA, wafanyakazi wa mahoteli na lodges, na watalii wote hawa wakae nje ya crater. Hoteli na lodges zijengwe karatu na Oldeani watalii wakae huko ila asubuhi waingie crater na kutalii, jioni warudi kulala hotelini karatu. Kadhalika wafanyakazi wa NCAA, wamasai na mifugo yao wote wahamishwe. Hapo hakuna siasa wala kura za 2025 nimemsikia waziri mkuu anababaika tu. Nimeshuhudia mwenyewe with naked eyes machinga wa kimasai wanauza asali na shanga, mifugo mingi tu ikizurura na nyumba za makazi kibao. Nawaomba jamani chonde chonde tuwatoe binadamu na mifugo ndani ya crater.
Halafu huko ndani ya NCA wabaki nyumbu tu? Hivi nyumbu wa Ngorongoro wanawasaidia nini? Wana umuhimu kiasi gani kuliko watanzania wenye nchi?
Ina maana nyumbu wa Tarangire na Serengeti plus Lake Manyara na Mikumi hawatutoshi?
 
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake..
Bora hifadhi ipotezwe na wamasai kuliko kuiachia ccm ifaidi peke yake.
Dhahabu, Almasi, Serengeti, Mikumi, Serous, maziwa na bahari wameshindwa kuzitumia kwa miaka
60 hiyo ngorongoro ndio itaondoa umaskini leo?
Huo upendo dhidi ya maliasili za taifa umetoka wapi?
Kutetea wamasi watolewe ni kutete uovu wa ccm there is no benefit tutapata kwa kuwatoa wa masai
kama taifa zaidi ya ccm kuendelea kuneemeka na ujinga wa watanzania.
Hizi akili za tukose wote ni za kimaskini.
 
Bila hao wamasai wanyama wataisha ndani ya mwaka tu...wamasai ni kama kiwingu kwa wezi wa maliasili...Takukuru iingilie kati na kuchunguza iwapo kuna rupia imepenyezwa katika hii kampeni...si bure
 
Halafu huko ndani ya NCA wabaki nyumbu tu? Hivi nyumbu wa Ngorongoro wanawasaidia nini? Wana umuhimu kiasi gani kuliko watanzania wenye nchi?
Ina maana nyumbu wa Tarangire na Serengeti plus Lake Manyara na Mikumi hawatutoshi?
Ww acha hoja zako hafifu za ki ufipa nyumbu wana hakinya kuishi NCA au unataka wakaishi wapi? Na usifananishe NCA na tarangire
 
Bila hao wamasai wanyama wataisha ndani ya mwaka tu...wamasai ni kama kiwingu kwa wezi wa maliasili...Takukuru iingilie kati na kuchunguza iwapo kuna rupia imepenyezwa katika hii kampeni...si bure
Kinachotakiwa kufanywa ni kuweka sheria za kubalance population ya watu na mifugo eneo la hifazi
 
Chato si ilikuwa iwe kitovu cha utalii hawa Wamasai wawapeleke huko kwani kuna tatizo gani?
 
Kasha kula urefu wa kamba Yake tayari
1645171144289.png
 
Ww acha hoja zako hafifu za ki ufipa nyumbu wana hakinya kuishi NCA au unataka wakaishi wapi? Na usifananishe NCA na tarangire
Sina haja ya kukujibu akili ndogo kama zako. Utakuwa hao watumishi wa NCAA wanaojaribu kujifanya wazalendo kwa wanyamapori kumbe wanatetea matumbo yao.
 
Back
Top Bottom