Peter Msigwa asema hali ni mbaya katika Hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru zinahitajika

Peter Msigwa asema hali ni mbaya katika Hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru zinahitajika

Hizi akili za tukose wote ni za kimaskini.
Hizo akili za kutaka mpate wote ndio za kimaskini..
Wamasai wakipata nyie mkakosa kuna shida gani?
Acheni kujifanya wajamaa wakati hamna ujamaa wowote mhimu ni serikali ya majimbo
utoe huu ujinga..
Ile gesi mlioichukuakwa nguvu mtwara imewasaidia nini?
Ngorogoro itawasaidia nini?
 
Hizo akili za kutaka mpate wote ndio za kimaskini..
Wamasai wakipata nyie mkakosa kuna shida gani?
Acheni kujifanya wajamaa wakati hamna ujamaa wowote mhimu ni serikali ya majimbo
utoe huu ujinga..
Ile gesi mlioichukuakwa nguvu mtwara imewasaidia nini?
Ngorogoro itawasaidia nini?
Ngorongoro inausaidia utalii, lengo ni kuwa sisi tukiwa makaburini uzuri wa hifadhi ya dunia uendelee kuwepo. Mnaleta siasa za ukanda na ukabila ambao hauwasaidii kwa namna yoyote ile.

Hao wa kusini walipoiringia gesi yao, kipi cha maana walichoifanyia?. Kosa sio kufanya kosa ni kurudia kosa, naamini serikali imejifunza.
 
Ni msigwa hyu hyu ama mwingine?? Btn the lines unaona kunamapungufu mengi Sana ya alichokisema, mm ninashauri inaonekana kunakitu hakipo sawa ama kwa serikali, hifadhi na wakazi Hawa, Sasa nashuri tu iandaliwe documentary, kuonesha Hali halisi, na wasiilete kwa interest za upande wowot, Kisha waujulishe uma,

Maana nmemsikia WM naona Kama nae Hana mamlaka hv anakuja na maoni Kama yangu, ukiina hvyo tunakoelekea si kuzuri
 
Ngorongoro inausaidia utalii, lengo ni kuwa sisi tukiwa makaburini uzuri wa hifadhi ya dunia uendelee kuwepo. Mnaleta siasa za ukanda na ukabila ambao hauwasaidii kwa namna yoyote ile.

Hao wa kusini walipoiringia gesi yao, kipi cha maana walichoifanyia?. Kosa sio kufanya kosa ni kurudia kosa, naamini serikali imejifunza.
Vitu vyote vimeshindwa kuwasadia itakuwa Ngorongoro!?
Hiyo ngorongoro tok 59 haijapotea iwe leo?
Utakuwa na matatizo gesi mmechukua kwa nguvu alafu unahoji nini sasa..
 
Ngorongoro Ngorongoro, wacha Tu ije iwe historical site.
Zipo mbuga nyingine, watalii wataenda huko!
Selous, RUAHA, Mikumi, Tarangire, Chato, Serengeti e.t.c

Hii nchi ina mambuga na mapori ya Akiba ya kutosha!
 
"Itaondoa umasikini Leo" ndio subsistence thinking" nayo ongelea, hauna ndugu, jirani, rafiki amezaa mtoto, ana mimba,? Etc, just know hii nchi itakuwepo after we are long gone, CCM haitadumu milele, Tanzania na watanzania watakuwepo mpaka mwisho wa Dunia hii, hatuwezi kuwa watu tuna akili na mawazo ya kijinga hivi tutegemee maisha yetu yatabadilika, or you think Tanzania inaisha siku ukifa? Sijui waafrika tumewekewa blanket gani kichwani!!?
Tanzania inaweza isiwepo mpaka mwisho wa dunia ( una maana gani sijui??) kama unavyofikiria, ilikuwepo Tanganyika miaka hata 50 haijapita leo haipo na kabla ya scramble of Africa Tanzania ilikuwa inaitwa nini vile? usijidanganye haya mataifa yapo tuu lakini hayadumu, na hii climate change unaweza kukuta in next 50 years Africa ni ya wazungu tuu
 
Brilliant argument
Wait a minute, mine could be even better.

In short, let's be smart. What's unique in changing people's customs to allow them live and co-exist with wildlife?

For instance, does a Massai have to keep hundreds herd of cattle to maintain a satisfactory lifestyle? What hapens if he keeps five, 10 improved cattle that can generate more income for him than the 100 herd in a year?

I am not completely averse to the idea of Ngorongoro being reserved for wildlife, but I am simply pointing out that there are better management methods that can allow co-existence of wildlife and human with minimal impact to the ecosystem of the area.

Lakini najua tulivyo wavivu wa kufikiri na kutaka vitu vya mkato mkato.
 
MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA SAKATA LA NGORONGORO:- WALIPWE FIDIA WAHAMISHWE, WANA HAKI ZAO

Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa wa chama hicho, aliyewahi pia kuwa mbunge wa Iringa mjini na waziri kivuli wa Wizara ya Maliasili na utalii Mchungaji Peter Msigwa amesema hali ni mbaya katika hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru hifadhi hiyo zinahitajika huku akiilaumu Serikali ya chama cha mapinduzi(CCM) kwa kutaka kuiuwa hifadhi hiyo.

Mchungaji Msigwa ameishangaa Serikali kwa kushindwa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati kuinusuru hifadhi hiyo licha ya kuwa na ongezeko kubwa la watu na mifugo linalohatarisha ustawi wa watu, wanyama na uhifadhi wa eneo la Ngorongoro kwa kuogopa kupoteza kura za uchaguzi bila kujali maslahi mapana ya taifa nay a eneo husika yanayotokana na shughuli mbalimbali ikiwemo utalii.

“Serikali ya chama cha Mapinduzi inatukosea sana; kama haiwezi kutunza mali ambazo tumewapa, wanatukosea sana, hizi mali, Tanapa, Serengeti, Ngorongoro, Mkomazi, Ruaha, kila kitu kitulo, hii sio mali ya CCM ni mali ya Taifa kwahiyo CCM imepewa dhamana ya kutunza, wanapokuwa wazembe kiasi hiki, watu mpaka wanajenga mle ndani, mle ndani wanafuga Ng’ombe wanaozidi zaidi maanake wanatukosea sisi na ndio maana tunataka tuwatoe Madarakani wanashindwa kutunza mali za umma ambazo wamepewa dhamana wazitunze”. Alisema Msigwa.

Ameongeza kuwa hali ya watu wa Ngorongoro ni mbaya na maeishauri serikali kutoa fidia itakayowashawishi wakazi hao kuhama kwenda sehemu bora zaidi watakazopatiwa huduma na mahitaji yanayoendana na changamoto za sasa huku akiwaasa wasomi wa kabila la Kimaasai ambao wanapaza sauti kutokea Dar es Salaam kushinikiza wananchi wanyonge wa Ngorongoro wasibadilishiwe maiosha yao kwa kisingizio cha sheria ambayo kimsingi sio msaafu wala biblia na imetokana na matakwa ya kikoloni, kiasi cha kuwazuia wakazi wa eneo hilo kushindwa kujenga nyumba za kisasa miundombinu bora ya huduma za kijamii nk, huku akiwashangaa wabunge waliopita na wa sasa wa eno hilo kuwa mstari wa mbele katika uvunjifu wa sheria wanaoyoitetea.



Wamasai na huyu mchungaji uchwara wote wakamatwe tu na kupelekwa mapori mengine, tumechoka kusikia kila siku wamasai hili wamasai lile.
 
Nimesema mara nyingi humu narudia tena kunusuru Ngorongoro binadamu wote wanatakiwa wawe nje ya crater sio wamasai tu la hasha mifugo yao, wafanyakazi wa NCAA, wafanyakazi wa mahoteli na lodges, na watalii wote hawa wakae nje ya crater. Hoteli na lodges zijengwe karatu na Oldeani watalii wakae huko ila asubuhi waingie crater na kutalii, jioni warudi kulala hotelini karatu. Kadhalika wafanyakazi wa NCAA, wamasai na mifugo yao wote wahamishwe. Hapo hakuna siasa wala kura za 2025 nimemsikia waziri mkuu anababaika tu. Nimeshuhudia mwenyewe with naked eyes machinga wa kimasai wanauza asali na shanga, mifugo mingi tu ikizurura na nyumba za makazi kibao. Nawaomba jamani chonde chonde tuwatoe binadamu na mifugo ndani ya crater.
Wazo lako si baya vile, hasa hlo la kuondoa binaadam wote ndani ya crater. Hii ni 'option' mojawapo.
Lakini pia inawezekana kabisa kupunguza impact ya uwepo wa binaadam ndani ya eneo hilo kwa kutumia njia nzuri za kubana shughuli zao wakiwa ndani ya 'crater'.
Ni swala la kupanga tu kisayansi jinsi ya kulinda raslimali hiyo iendelee kuwa kivutio muhimu.
 
Maoni ya mtu yeyote hayaondoi maslahi ya Wamaasai katika hifadhi. Walioanzisha walikuwa wanajua binadamu huzaliana.
Acheni chuki na dharau.
Sisi hatusikilizi maoni ya vilaza kama ninyi mliolipwa hela za NCAA.
Sisi tunaangalia maslahi yetu.
Kama hujafunzwa kutanguliza maslahi yako, kosa sio letu. Kosa ni walezi wako.
Sisi tuna pumzi kwenye kudai maslahi yetu.
Hatutishwi na yeyote.
Sisi tupo kwenye mjadala na Serikali katika ngazi ya Waziri Mkuu.
Sio vilaza kama wewe mleta mada, Msigwa, Balile au Kitenge.
Wote hao ni wasaka tonge.
Na wewe una tetea upande wa wenye ng'ombe tokea Arusha.

Halafu Chadema mmezowea kudandia matukio.
 
Na wewe una tetea upande wa wenye ng'ombe tokea Arusha.

Halafu Chadema mmezowea kudandia matukio.
Niache kupeleka ng'ombe kiteto au Simanjiro au Handeni, niwapeleke Ngorongoro? Inaonekana hamfanyi utafiti au mnaendekeza njaa.
 
MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA SAKATA LA NGORONGORO:- WALIPWE FIDIA WAHAMISHWE, WANA HAKI ZAO

Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa wa chama hicho, aliyewahi pia kuwa mbunge wa Iringa mjini na waziri kivuli wa Wizara ya Maliasili na utalii Mchungaji Peter Msigwa amesema hali ni mbaya katika hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru hifadhi hiyo zinahitajika huku akiilaumu Serikali ya chama cha mapinduzi(CCM) kwa kutaka kuiuwa hifadhi hiyo.

Mchungaji Msigwa ameishangaa Serikali kwa kushindwa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati kuinusuru hifadhi hiyo licha ya kuwa na ongezeko kubwa la watu na mifugo linalohatarisha ustawi wa watu, wanyama na uhifadhi wa eneo la Ngorongoro kwa kuogopa kupoteza kura za uchaguzi bila kujali maslahi mapana ya taifa nay a eneo husika yanayotokana na shughuli mbalimbali ikiwemo utalii.

“Serikali ya chama cha Mapinduzi inatukosea sana; kama haiwezi kutunza mali ambazo tumewapa, wanatukosea sana, hizi mali, Tanapa, Serengeti, Ngorongoro, Mkomazi, Ruaha, kila kitu kitulo, hii sio mali ya CCM ni mali ya Taifa kwahiyo CCM imepewa dhamana ya kutunza, wanapokuwa wazembe kiasi hiki, watu mpaka wanajenga mle ndani, mle ndani wanafuga Ng’ombe wanaozidi zaidi maanake wanatukosea sisi na ndio maana tunataka tuwatoe Madarakani wanashindwa kutunza mali za umma ambazo wamepewa dhamana wazitunze”. Alisema Msigwa.

Ameongeza kuwa hali ya watu wa Ngorongoro ni mbaya na maeishauri serikali kutoa fidia itakayowashawishi wakazi hao kuhama kwenda sehemu bora zaidi watakazopatiwa huduma na mahitaji yanayoendana na changamoto za sasa huku akiwaasa wasomi wa kabila la Kimaasai ambao wanapaza sauti kutokea Dar es Salaam kushinikiza wananchi wanyonge wa Ngorongoro wasibadilishiwe maiosha yao kwa kisingizio cha sheria ambayo kimsingi sio msaafu wala biblia na imetokana na matakwa ya kikoloni, kiasi cha kuwazuia wakazi wa eneo hilo kushindwa kujenga nyumba za kisasa miundombinu bora ya huduma za kijamii nk, huku akiwashangaa wabunge waliopita na wa sasa wa eno hilo kuwa mstari wa mbele katika uvunjifu wa sheria wanaoyoitetea.



Endeleeni kuwachekea chekea hao Masai
 
I am simply pointing out that there are better management methods that can allow co-existence of wildlife and human with minimal impact to the ecosystem of the area.
Why should we venture into such a tidious method that allows coexistence of wildlife and human beings ? We have enough land that provides us with an opportunity to relocate these maasai people to better places equipped with all social services including residential houses.
 
Why should we venture into such a tidious method that allows coexistence of wildlife and human beings ? We have enough land that provides us with an opportunity to relocate these maasai people to better places equipped with all social services including residential houses.
These people have a right to their way of life; after all, if you think it is tedious to manage and support their way of life where they are, how can you be believed for the hot air you're venting regarding the promises?

By the way, use that "enough land" to create opportunities, and let the masaai stay in their habitat.
 
if you think it is tedious to manage and support their way of life where they are, how can you be believed for the hot air you're venting regarding the promises?
They are no longer promises. Actions are in place that"s why residential houses have already been erected waiting to be inhabited.
 
They are no longer promises. Actions are in place that"s why residential houses have already been erected waiting to be inhabited.
You must be nuts to think you're cleaver to claim something that does not exist!
 
Back
Top Bottom