Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Anatumia nguvu nyingi huku mizizi ya shingo ikimtoka kutuaminisha kitu huku akijua kuwa ni uongo . Sijui anatuchukuliaje
Ni haki ya kila Mwanachadema kuomba kuteuliwa. Mbona CCM mwaka 2015 walijitokeza kama 30?! Kama kungekuwa na demokrasia ndani ya CCM wangejitokeza wengi tu. Lakini wanaogopa kwa yatakayowapata, maana wanaweza kupotea hivi hivi!
 
Msigwa naye anataka urais??!!! Duh! Hatari sana. Narudia kusema huu mchakato wa kuwania urais kupitia Chadema ndio kaburi la Chadema. Chadema sasa inakufa kifo cha mende.
Mara mia chadema kuliko ccm, urais kugombea mwiko kwa wanachama isipokuwa jiwe
 
Hatuwezi kukubali kamwe, Taifa letu, moja, pendwa kuongozwa na mtu Mwongo, mzushi na mnafiki. Kama aliweza kumzushia mzee Kinana Mambo ya ajabu, itakuwaje akiwa na dola?
Baada ya kukiri kwa kinywa chake mwenyewe kuwa alimzushia uongo Kinana , Msigwa hafai kuwa hata Mwenyekiti wa tawi wa chama.
 
Mkuu mbona unashindwa kujiamini au kuwaamini wanachadema wenzako kwa hiyo tuseme huna Imani na Msigwa?

Ama Kweli kwa maneno yako basi Chadema inasikitisha kwann unamuamini Lisu tu, na hawa wengine hawaaminiki? Yani wanachadema wenyewe hawaaminiani duuh kazi ipo

pujo
 
Hizo ni hesabu ndefu kama ulikuwa sifuri darasani huwezi kukokotoa hii huyo ni mchezaji wa akiba ikiwa lissu atapewa red card
 
Anatumia nguvu nyingi huku mizizi ya shingo ikimtoka kutuaminisha kitu huku akijua kuwa ni uongo . Sijui anatuchukuliaje
Atakuwa sio binadamu huyo,ana mizizi shingoni?
 
🤣🤣🤣 kituko cha nusu mwaka.

Ila kanusa Iringa mjini sio sehemu sahihi sana kwake
 

Attachments

  • y2mate.com - Mhe. Msigwa akifyatuka Juni 20, 2012_T3wgDb2PRAI_144p.mp4
    11.5 MB
Kwani jamaa ana fungu la kumkatia mwenye saccos yake??

Aaangalie tu yasije kumpata ya kumpata.
 
Afadhali huyo muda aje aseme tu maana najionea vitimbi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…