Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Msigwa huyu huyu " mwanafamilia"?!
Jo hiki chama kinakunyima usingizi mno naona,.. Are you haunted by CHADEMA?
IMG_20200531_072737_186.jpg


Jr[emoji769]
 
Inaonyesha namna gani kwenye chama cha Chadema, demokrasia ilivyokomaa........

Kule kwenye chama cha kijani, ukisikika tu una mpango wa kuchukua fomu na kutaka kumpinga Jiwe, unafukuzwa toka kwenye Chama!
Kweli nyani haoni kundule, Wangwe, Zitto, Mwambie, Sumaye Hawa wote walichukua form kumpinga Mbowe. Wako wapi leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni haki yake ila mwisho wa siku atakuja kujitoa na kusema anamuunga mkono Lissu.Hata Nyalandu nae atakuja kujitoa na kumuachia Lissu hiyo nafasi.Huu ni mkakati wa kisiasa wa kumpa Lissu nguvu zaidi katika uchaguzi huu japo hatuna Tume Huru.

Kama anataka kutafuta sababu ya kuondoka CHADEMA kupitia mchakato wa uteuzi, muda utasema.
Msigwa haaminiki?
 
Leo Peter Msigwa amekuwa kiumbe asieaminika?!

Maisha yanaenda kasi sana.
Sio ahaminiki tu, pia mjinga, amezoe kuwadanganya waumini wake, na amechukua hiyo hadi kuwazushia watu mabalaa, ni mpuuzi!
 
chadema kuna tatizo mtu kugombea anaandika barua? kawaida inatakiwa achukue fomu ya kuomba kugombea aijaze na kuirudisha hili lichama la chadema mbona limekaa kienyeji sana
 
chadema kuna tatizo mtu kugombea anaandika barua? kawaida inatakiwa achukue fomu ya kuomba kugombea aijaze na kuirudisha hili lichama la chadema mbona limekaa kienyeji sana
Kwani wewe unapangiwa utaratibu wa kuishi nyumbani kwako? Kila nyumba Ina taratibu zake.
 
Msigwa naye anataka urais??!!! Duh! Hatari sana. Narudia kusema huu mchakato wa kuwania urais kupitia Chadema ndio kaburi la Chadema. Chadema sasa inakufa kifo cha mende.
 
chadema kuna tatizo mtu kugombea anaandika barua? kawaida inatakiwa achukue fomu ya kuomba kugombea aijaze na kuirudisha hili lichama la chadema mbona limekaa kienyeji sana
Ni mtindo tu usihofu, na ni mzuri, ungetumika kwenye serikali za mitaa tusingepata viongozi wa vitongoji wasiojuwa kusoma na kuandika kama walivyo leo wengi, kwetu ni kibao na wamefanikiwa kwa kuwa walipita kwa wengine kuenguliwa sababu walitumia anuani ya mkurugenzi!
 
chadema kuna tatizo mtu kugombea anaandika barua? kawaida inatakiwa achukue fomu ya kuomba kugombea aijaze na kuirudisha hili lichama la chadema mbona limekaa kienyeji sana
Kila chama kina taratibu zake usikariri.
 
Back
Top Bottom