Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Sasa umuhimu wake ulikuwa upi?Hebu elezea.Ila utawala wa jiwe ulikuwa una umuhimu mkubwa sana. Yaani alikuja na kuondoka ndani ya muda mfupi ili liwe funzo kwa Watanzania.
Mambosasa anawajua vizuri, maana aliviambia vyombo vya habari kuwa amewakamata na kuwaweka ndani hao askari wahusika kipindi kileAskari aliyefyatua risasi anafanywa nini ?.
li-radio kubwa bendi moja[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Alikuja kama somo kubwa la Siasa kwetu sisi na vizazi vijavyo.Sasa umuhimu wake ulikuwa upi?Hebu elezea.
Duuuh! Umetisha mzee ongeza sautiiiiii.Msigwa ana kichwa kidogo ila ana akili njema sana.We need people of the like.Ni muhimu kwa afya ya taifa.Siyo mtu anakuwa na mbichwa mkuuubwaaa halafu hana akili nzuri.Ni kama li-radio kubwa bendi moja๐๐๐๐
Eleza.Kivipi? Don't be too general!Alikuja kama somo kubwa la Siasa kwetu sisi na vizazi vijavyo.
Ngoja nimsaidie, yaani kupitia utawala wa mwendakuzimu tz imepata case study ya kujifunza kupitia madhira aliyofanya yule dikiteta mwendakuzimu.Eleza.Kivipi? Don't be too general!
Nitaiweka kama Makala mkuu kesho na nitakutagEleza.Kivipi? Don't be too general!
Acha kiherehereHalafu yeye alilipiwa na mwendazake
Umihimu wake yaani tumepata fundisho tusije kurudia makosa ya aina ile, bora lile jibwa 'limekufilia' mbali.Sasa umuhimu wake ulikuwa upi?Hebu elezea.
Alikua anatufundisha kwavitendo kwamba KATIBA mpya nimuhimu kuliko kusubiria huruma yamtu au ukali wake yeye..kama hujanielewa katiba yetu inampa kiburi rais aliyepo madarakani na akiwa mwendawazimu basi tumekwisha ,ccm kazikwao msisubiri tukate tamaaSasa umuhimu wake ulikuwa upi?Hebu elezea.
Au lisoika likuuubwa linatoa sound mbovu...a.k.a nduga ya yaiMsigwa ana kichwa kidogo ila ana akili njema sana.We need people of the like.Ni muhimu kwa afya ya taifa.Siyo mtu anakuwa na mbichwa mkuuubwaaa halafu hana akili nzuri.Ni kama li-radio kubwa bendi moja[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]