Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Shamba darasa, Mungu aliruhusu tujifunzeIla utawala wa jiwe ulikuwa una umuhimu mkubwa sana. Yaani alikuja na kuondoka ndani ya muda mfupi ili liwe funzo kwa Watanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shamba darasa, Mungu aliruhusu tujifunzeIla utawala wa jiwe ulikuwa una umuhimu mkubwa sana. Yaani alikuja na kuondoka ndani ya muda mfupi ili liwe funzo kwa Watanzania.
Big point mukuluPesa walizochangiwa Chadema familia ya Akwilina wapewe nusu kama kifuta machozi.
Hatma ya Aquilina itajadili mahakama na Mkurugenzi wa kinondoni Kajulumuguru"Baada ya kushinda kesi ya Mh Freeman Mbowe na wenzake, mjadala sasa ni juu ya matumizi ya 350M, hatujadili uhai wa Akwilina. Nani alimuua? Nani anawajibika? Mkurugenzi wa Kinondoni anawajibikaje? Kwanini hakutoa barua za mawakala? Athari walizopata warufani. Uhuni huu utaisha lini?"
- Mch. Peter Msigwa
-
Ametufundisha umuhimu wa katiba mpyaSasa umuhimu wake ulikuwa upi?Hebu elezea.
Umuhimu wa jiwe;Sasa umuhimu wake ulikuwa upi?Hebu elezea.
Mwendawazimu hakua na umuhimu wowote kwa Tanzania.Ila utawala wa jiwe ulikuwa una umuhimu mkubwa sana. Yaani alikuja na kuondoka ndani ya muda mfupi ili liwe funzo kwa Watanzania.
Serikali iliyomuua yenyewe imetoa nini.Pesa walizochangiwa Chadema familia ya Akwilina wapewe nusu kama kifuta machozi.
Ccm ilijenga ofisi gani katika nchi hii, hivi wakitolewa madarakani si watakuwa kama Kanu, Unip na UPC.Msigwa Jengeni Ofisi hivi hamuoni aibu?? mnataka Dola hata ofisi hamna??
Ngoja niusake ule uzi tuufufueAskari aliyefyatua risasi anafanywa nini?
Chadema walimponza binti wa watu eti nae alitaka aandikwe kuwa mwana harakati... ni lazima Akwilina atendewe haki! Binadamu tena asiye na hatia, mpita njia, hawezi kupigwa risasi na vyombo vya dola halafu ikapita hivi hivi! Waliotoa amri na waliofyatua risasi bado wangalipo hai; mtoto mzuri yule atendewe haki hata kama hatunaye tena.
... acha kashfa ... Akwilina aliuliwa akiwa ndani ya dalala tambua hilo. Kwa hiyo wote waliokuwemo ndani ya ile daladala walitaka watambuliwe kama wanaharakati? Risasi ingeweza kumpiga yeyote mle.Chadema walimponza binti wa watu eti nae alitaka aandikwe kuwa mwana harakati